Kufuatia kifo cha Rais wa Ghana viongoz wa tanzania wamejifunza nini.Kw sababu wamejilimbikizia mali nyingi huku wananchi wakiwa hawana matumaini yoyote ya maisha yao ya baadae.Hivyo wajue kifo ni mwsho wa yote na hakina taarifa.Watumikien wananchi muwe na uzalendo kwa watanzania.Nawasilisha wakuu