4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,978
- 6,782
Wakuu Salam kwenu,
Naenda kwenye mada moja kwa moja
UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,
Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.
Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa, kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,
Kwa taarifa nilizopowe zinadai sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la.
Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara
Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,
Naenda kwenye mada moja kwa moja
UDSM inaendesha medicine pitia brunch yao iliyopo Mbeya na hutumia Mbeya zonal referal hospital Kama teaching hospital,
Kuna tahalifa za Mambo mengi ikiwa ni pamoja na mdau mmoja aliewahi leta malamiko yake apa jf kuhusu Mbeya ZONAL hospital , hasa iliusu intern na wanafunzi Zi hasa wafanyiao hapo, ok wenda ulikua ni uongo au ukweli maana hatukupata mrejesho,.
Sasa ndugu zangu ipo taarifa imenifikia, kwamba Kuna kijana alikua anaendelea na masomo mwaka wa tano , ila ipo idara ilikua KAZI yake ni kumkandamiza kila akiinua kichwa wanakula kichwa, kama msemo ulivyo katika vyuo vya Afrika hasa tz,
Kwa taarifa nilizopowe zinadai sio kwamba marehem hakuwa vizuri kichwani but ni hulka ya idara husika ambazo hazizidi mbili ambazo zimekua na Tabia ya hovyo na si kila mmoja kwenye idara bali ni wachache wao ambao wenda wanaharibu idara, kwa makusudi ya malengo yao au la.
Zaidi ni kwamba KWA mjibu wa taharifa zilizofika, huyu mwanafunzi ,marehem hamjui baba Wala mama hivyo wenda waliokua wamsaport ni ndugu au jamaa ,so alitoweka mazingira ya chuon na kwenda Mwanza Kama wiki mbili na nusu zilizopita ,mwisho ulikutwa mwili ulishaharibika vibaya , ila vyanzo ambavyo vimejaribu wasiliana nami au tuma ujumbe ,vinasema mwanzo wa matatizo yake yameanza punde tu baada ya kufailishwa kwenye idara moja aliokua anarotate Kama sehem yake ya masomo Mara KWA mara
Niwaombeni serikali chunguza chanzo Cha kifo chake , Kama ni ukuda wa idara aliyokuwepo ijulikane , na Kama ni uzembe wa viongozi wa chuo basi taratibu zifuatwe , na Kama kajiziru mwenyewe na hakua mwanafunzi ijulikane thanks ,more up to date as I got the information,