KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Wazo lako zuri lakini ukifa nani ataongoza CCM wakiondoka hivyo usiwaze kufa waza kuiondoa ccm madarakani harafu wewe uwe kiongozio baada ya mapinduzi ukifa watu wataoga kusonga mbele na CCM wataimalika!!Najitolea kufa ili Tanzania iondokane na udhalimu.
Naamini damu yangu italeta chachu na ari mpya ya mabadiliko.
CCM lazima ing'olewe madarakani, Kikwete lazima ashitakiwe kwa kukandamiza na kudhulumu haki za msingi za raia wake.
Mama Makinda ana la kujibu kutokana na kulitumia bunge kama kikombe chake cha kunywea kahawa. Amedhulumu mamilioni ya Watanzania haki yao ya kuijadili katiba.
Nayasubiri kwa hamu maandamano yaliyo andaliwa na jukwaa la katiba ili CCM waniue.
Sijali kufa na wala siogopi kufa.
Mtu asikudanganye Songa Mbele Usiwaze kufa Mungu yupo upande Wako!!