Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Hapa nakubaliana na wewe, na hivi ndivyo nilivyokujua siku zote-a clearly minded person. Sasa sijui huyu shetani kakuingiaje leo kiasi kwamba unaongea ongea so loosely, hebu jirudi haraka tusije tukakuweka kundi moja na akina Magabugabu!!

Kitila,

Mimi ni kama namfahamu MkamaP, sio CCM kabisa ila baadhi ya mambo na matusi yanayoandikwa na vijana wa CHADEMA hapa yanawafanya watu wengine wachukue upande wa pili ili kuleta balance.

Japo wengi wao si ajabu hata si wanachama wa CHADEMA, lakini comments zao zinaweza kuwakosesha CHADEMA wanachama na viongozi wa baadaye.

Ukiwa nje na ukasoma baadhi ya comments hizo, inatisha. If you can't stand the heat, stay away from the kitchen, wengine tunafuata ushauri huo.

MkamaP, sio lazima ujibizane nao muda wote, wakati mwingine silence ni panga kubwa kuliko mistari kibao ya mabishano.
 
Kwa kweli hii inatisha, na unaweza kuelewa kwa nini watu wengine wanaamua kubaki huko waliko. It is just too scary. But all this is a result of incompetence. Kwa kuwa hawawezi ku-deliver, hawana njia ingine ya kubaki hapo walipo zaidi ya kuwanyamazisha wanaofunua udhaifu wao. We are in bigger mess than I thought!

Kitila,

Just imagine kuwa kuna watu wanayatetea hayo bila hata haya. Hakika hali inatisha. Kuna wengine humu ndani wanachefua kiasi kwamba unatamani uwanase kibao maanake si utoto tena, ni utaahira. Kwenye hii post wamejitokea wazi wazi na kama mwenendo ndio huu, tumekwisha. Hebu fikiria hata TBC sasa ndio kinara wa radio mbao !! Kuna nini jamani.
 
Hapa nakubaliana na wewe, na hivi ndivyo nilivyokujua siku zote-a clearly minded person. Sasa sijui huyu shetani kakuingiaje leo kiasi kwamba unaongea ongea so loosely, hebu jirudi haraka tusije tukakuweka kundi moja na akina Magabugabu!!

Mwl Kitila
Mimi nakubaliana na wewe kabisa ,na sifungamani na pande yoyote nakaa katikati kila sehemu palipo na uwalakini napohoji.

Nashindwa kuelewa nijirudi sehemu naposisitiza uchunguzi uanzie chadema ama sehemu gani?

Hilo la halimashauri nimeshakubali .Tatizo lilopo humu unapoanza kuhoji chadema watu wanakuja juu sijui tatizo ni nini?

wewe ni Mwl unajua kanuni za ualimu ,hivi mwanafunzi akiuliza maswali magumu unamshambulia kwa viboko?
 
Kitila,

Mimi ni kama namfahamu MkamaP, sio CCM kabisa ila baadhi ya mambo na matusi yanayoandikwa na vijana wa CHADEMA hapa yanawafanya watu wengine wachukue upande wa pili ili kuleta balance.

Japo wengi wao si ajabu hata si wanachama wa CHADEMA, lakini comments zao zinaweza kuwakosesha CHADEMA wanachama na viongozi wa baadaye.

Ukiwa nje na ukasoma baadhi ya comments hizo, inatisha. If you can't stand the heat, stay away from the kitchen, wengine tunafuata ushauri huo.

MkamaP, sio lazima ujibizane nao muda wote, wakati mwingine silence ni panga kubwa kuliko mistari kibao ya mabishano.

Mtanzania, thats why I say, this thread needs to be haulted for now. Maana kuna watu wanakuwa manipulated kirahisi sana.
 
Kulingana na taarifa nilizokwishasoma kutoka sehemu mbalimbali, nina kila sababu ya kuamini kuwa Wangwe ameuwawa makusudi. Ameuwawa siyo tu kumnyamazisha yeye binafsi bali pia inawezekana wauaji walitaka kutumia kifo chake kama sumu ya kukivuruga chama cha upinzani cha CHADEMA.

Kundi lililoandaa mauaji hayo linaweza kuwa la kisiasa (k.m. kutoka CCM, CHADEMA, CUF, UDP, TLP ambao wangetaka kudhoofisha nguvu yake kisiasa kwa masalahi yao binafsi) au la kifisadi (mtu yeyote ambaye masalahi yake yamekuwa yakiguswa Mbunge Wangwe pamoja na chama cha CHADEMA huko bungeni).

Kuhusiana na mazingira ya mauaji, inaelekea kuwa Mbunge yule ama aliuwawa au aliondolewa fahamu kabla ya ajali kutokea. Kitendo cha kukutwa akiwa kiti cha abiria kwenye gari lake binafsi ni ushahidi tosha kuonyesha kuwa ama mtu aliyekuwa anaendesha gari lile ni mtu wa karibu sana kwa marehemu au yeye mwenyewe (marehemu) alikuwa hawezi kuliendesha tena wakati huo. Kama mwendesha gari alikuwa mtu wa karibu sana kwa marehemu, asingejificha baada ya ajali kutokea.

Ninalaani sana hii assassination ya viongozi kwa vile wao ni binadamau kama wengine sote, na wana familia zinazowategemea. Kuuwawa kwa viongozi huwa kunaleta mateso kwa familia zao ambazo huenda hazihusiki kabisa na malumbano ya kisiasa yanayofanya viongozi hao wachukiwe. Kwa mfano, marehemu kaacha watoto wadogo ambao sasa watakua bila kupata mapendo ya baba, jambo linaweza kuwaathiri namna watakavyokomaa.

Tujifunze siasa za kutanguliza ubinadamu kabla ya maslahi yetu wenyewe.
 
Kitila,

Mimi ni kama namfahamu MkamaP, sio CCM kabisa ila baadhi ya mambo na matusi yanayoandikwa na vijana wa CHADEMA hapa yanawafanya watu wengine wachukue upande wa pili ili kuleta balance.

Japo wengi wao si ajabu hata si wanachama wa CHADEMA, lakini comments zao zinaweza kuwakosesha CHADEMA wanachama na viongozi wa baadaye.

Ukiwa nje na ukasoma baadhi ya comments hizo, inatisha. If you can't stand the heat, stay away from the kitchen, wengine tunafuata ushauri huo.

MkamaP, sio lazima ujibizane nao muda wote, wakati mwingine silence ni panga kubwa kuliko mistari kibao ya mabishano.


Mtanzania
nimekupata ushauri wako mzuri sana.
 
Jamani mnashauri hii mada ifungwe kwa muda? tuwaombe ma Mod? ...

Mimi binafsi nisingependa kuona inafungwa. Angalau hapa majibu ya uzushi wa vyombo vya habari nyumbani yatajibiwa. Ikifungwa, wale wote wenye kubeza na kueneza habari za uchochezi kwa wakazi wa Tarime kwenye vyombo vya habari Tanzania (wakioongozwa na TBC) wataendelea tu bila majibu yoyote yale au kupata upande mwingine wa kinachotokea Tarime.

Asante.
 
Hapana iacheni iendelee tu, kwani mbona sioni tatizo, naona kuna umeme hewani lakini sio radi zakutisha, katika mijadala kama hii lazima kuwe na umeme, lakini so far sioni a major radi, tuendelee kukoma nyani mpaka kieleweke!

Na kabla mr. Bob Chiligati hajaja kuleta ukanjanja wake!
 
Let people speak what they know. The media in Tanzania have become useless in dealing with difficult questions.
 
Wakuu wa JF,
Nilikuwa sijachangia ktk mada hii na hakika muda umepita sijafuatilia humu ndani kwa sababu ambazo binafsi nilishindwa kuamini kila lililoandikwa humu. Niliacha kusoma ili nipate muda wa kufuatilia.

Lakini leo baada ya kuongea na mtu wangu Bongo, kuna habari hizi nimezipokea ambazo kwa kiasi kikubwa naanza kuziamini.

Inasemekana Wangwe amefanyiwa kile kilichomkuta Mwaikambo.. Yaani kauawa sehemu nyingine ya pale lilipokutwa gari ilikuwa staging tu...

Huyu kijana ambaye ni rafiki ya marehemu anafahamu mengi zaidi ya hayo kwa sababu kuna wakati mtoto wa marehemu alipiga simu akaipokea yeye na kudai kwamba wanarudi mjini Dodoma kwa sababu wameharibikiwa...Kijana amedai alikuwemo ndani ya gari wakati wote!..

Tatizo linakuja ni kwamba haiwezekani huyu kijana kupokea simu ya Marehemu kama angekuwa hai, hakuna sababu na hata hivyo angesema subiri na kumpa marehemu aongee na mwanaye - Bila shaka wakati huo Wangwe tayari alikwisha kufa (uawa)...

Habari ya msisitizo ni kwamba gari lile ktk hali iliytokuwepo haiwezekani mtu atoke hana jeraha unless mtu huyo alitupwa nje ya gari hilo kabla halijabondeka...

Haya ni baadhi ya maswali machache ambayo hadi sasa hivi hayana majibu!..
 
Kulingana na taarifa nilizokwishasoma kutoka sehemu mbalimbali, nina kila sababu ya kuamini kuwa Wangwe ameuwawa makusudi. Ameuwawa siyo tu kumnyamazisha yeye binafsi bali pia inawezekana wauaji walitaka kutumia kifo chake kama sumu ya kukivuruga chama cha upinzani cha CHADEMA.

Kundi lililoandaa mauaji hayo linaweza kuwa la kisiasa (k.m. kutoka CCM, CHADEMA, CUF, UDP, TLP ambao wangetaka kudhoofisha nguvu yake kisiasa kwa masalahi yao binafsi) au la kifisadi (mtu yeyote ambaye masalahi yake yamekuwa yakiguswa Mbunge Wangwe pamoja na chama cha CHADEMA huko bungeni).

Kuhusiana na mazingira ya mauaji, inaelekea kuwa Mbunge yule ama aliuwawa au aliondolewa fahamu kabla ya ajali kutokea. Kitendo cha kukutwa akiwa kiti cha abiria kwenye gari lake binafsi ni ushahidi tosha kuonyesha kuwa ama mtu aliyekuwa anaendesha gari lile ni mtu wa karibu sana kwake au yeye mwenyewe alikuwa hawezi kuliendesha tena wakati huo. Kama alikuwa mtu wa karibu sana kwake, asingejificha baada ya ajali kutokea.

Ninalaani sana hii assassination ya viongozi kwa vile wao ni binadamau kama wengine sote, na wana familia zinazowategemea. Kuuwawa kwa viongozi huwa kunaleta mateso kwa familia zao ambazo huenda hazihusiki kabisa na malumbano ya kisiasa yanayofanya viongozi hao wachukiwe. Kwa mfano, marehemu kaacha watoto wadogo ambao sasa watakua bila kupata mapendo ya baba, jambo linaweza kuwaathiri namna watakavyokomaa.

Tujifunze siasa za kutanguliza ubinadamu kabla ya maslahi yetu wenyewe.

Prof. Kichuguu,

Wangwe kafa kwa ajali. Familia wameamua la maana kufanya uchunguzi wao binafsi. Haya mambo ya hearsay ni mabaya popote pale duniani. Wanasiasa wanapohusika inakuwa mbaya hata zaidi maana wanasiasa muda wote wana interests zao binafsi.

Njia pekee ya kuondoa rumours kama hizi ni ukweli na uwazi kwa asilimia 100. Bahati mbaya cultures zetu zimejaa kuficha ficha na matokeo majungu yanakuwa mengi mno.

Heri yetu wengine ambao hatuogopi kifo, "I am not afraid of death but in no hurry to die".
 
Mimi binafsi nisingependa kuona inafungwa. Angalau hapa majibu ya uzushi wa vyombo vya habari nyumbani yatajibiwa. Ikifungwa, wale wote wenye kubeza na kueneza habari za uchochezi kwa wakazi wa Tarime kwenye vyombo vya habari Tanzania (wakioongozwa na TBC) wataendelea tu bila majibu yoyote yale au kupata upande mwingine wa kinachotokea Tarime.

Asante.

True, but dont you feel when you lay ur cards its so easy to be manipulated? The issue here is post-mortem, requested by the family. Let the post-mortem be done. Then you will work backwards.
Otherwise if you sit back, and read this thread, boy......!!
 
True, but dont you feel when you lay ur cards its so easy to be manipulated? The issue here is post-mortem, requested by the family. Let the post-mortem be done. Then you will work backwards.
Otherwise if you sit back, and read this thread, boy......!!

That's fair enough, I then see your point of view and agree with you.

Thanks.
 
Mwl Kitila
Mimi nakubaliana na wewe kabisa ,na sifungamani na pande yoyote nakaa katikati kila sehemu palipo na uwalakini napohoji.

Nashindwa kuelewa nijirudi sehemu naposisitiza uchunguzi uanzie chadema ama sehemu gani?

Hilo la halimashauri nimeshakubali .Tatizo lilopo humu unapoanza kuhoji chadema watu wanakuja juu sijui tatizo ni nini?

wewe ni Mwl unajua kanuni za ualimu ,hivi mwanafunzi akiuliza maswali magumu unamshambulia kwa viboko?

Tatizo ni aina ya uulizaji, kama mwanafunzi akiniuliza swali kwa kejeli na huku akijifanya anajua jibu, huyu mwanafunzi naweza nisimuadhibu lakini nitamdharau!
 
Jamani mnashauri hii mada ifungwe kwa muda? tuwaombe ma Mod? ...

Mwanakijiji,

Hakuna haja ya kufunga, hakuna haja ya ku control information. Tukifanya hivyo hata sisi tutakuwa kama hao TBC.

Threads kama hii ndizo zinatufundisha tulivyo. Inabidi watu kujiangalia usoni vizuri kwenye vioo tujione tulivyooza. Tumekuwa tukiwalaumu wengine muda wote lakini je tuko tofauti na wao?

Ukitaka kumjua mwanadamu vizuri, njia murua ni kumruhusu afungue mdomo wake.
 
Jamani, kuna advantage moja ya hii thread ni kuwa watu hawasubiri tena magazeti na radio kuhusu taarifa zao; Saa moja kuanzia sasa nitawawekea taarifa ya habari iliyotangazwa na TBC saa mbili za usiku za Tanzania na mtaona kuwa kama watu wanasikiliza taarifa ya habari tu basi wanaweza kupata habari ya ajabu sana kama walivyofanyiwa leo.
 
By the way, tayari mkataba unaoleta kizaa zaa huko CCM na Uv-CCM yake umepatikana tayari, tunaufanyia marekebisho kidogo tu lakini by kesho utatinga hapa wazi, tena ukiwa na kurasa zake zote sita, wananchi wamue wenyewe pumba na mchele ulipo!

Ahsante Wakuu! JF mbele where we dare!
 
Kitila,

Mimi ni kama namfahamu MkamaP, sio CCM kabisa ila baadhi ya mambo na matusi yanayoandikwa na vijana wa CHADEMA hapa yanawafanya watu wengine wachukue upande wa pili ili kuleta balance.

Japo wengi wao si ajabu hata si wanachama wa CHADEMA, lakini comments zao zinaweza kuwakosesha CHADEMA wanachama na viongozi wa baadaye.

Ukiwa nje na ukasoma baadhi ya comments hizo, inatisha. If you can't stand the heat, stay away from the kitchen, wengine tunafuata ushauri huo.

MkamaP, sio lazima ujibizane nao muda wote, wakati mwingine silence ni panga kubwa kuliko mistari kibao ya mabishano.
Chadema wanataka kuonekana kama source ya information hapa JF na kuna wanajiona hivyo. lakini kwanini asiulizwe Said Yakub ambaye ni mwanachama mwenzetu na alikuwa MC kwenye shughuli ya kuaga mwili pale bungeni Tv zote zilimuonesha.Mwanakijiji fanya juhudi ya kumsikia Said Yakub ili tupate habari zisizo na chumvi.
 
Mwanakijiji,

Hakuna haja ya kufunga, hakuna haja ya ku control information. Tukifanya hivyo hata sisi tutakuwa kama hao TBC.

Threads kama hii ndizo zinatufundisha tulivyo. Inabidi watu kujiangalia usoni vizuri kwenye vioo tujione tulivyooza. Tumekuwa tukiwalaumu wengine muda wote lakini je tuko tofauti na wao?

Ukitaka kumjua mwanadamu vizuri, njia murua ni kumruhusu afungue mdomo wake.
Wakizidiwa wanafungia members au wanafuta ujumbe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom