Mpaka sasa ni kuwa RPC amemwambia Mbowe asiwepo Tarime ,eti usalama wake utakuwa mdogo na wanamlazimisha asiwepo japo najaribu kuwatafuta waliopo huko kuweza kunipa yanayojiri ila naona hawapatikani.
Mwenye simu ya RPC wa Mara anitumie kwenye PM nami ntaanza kumhoji tafadhali.
Mwenye simu ya RPC wa Mara anitumie kwenye PM nami ntaanza kumhoji tafadhali.