Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Kasheshe unataka watu waanze kuhoji mazingira ya kifo baada ya mtu kuzikwa? sasa ikibidi kufukua mwili si ndo itakuwa kasheshe? (pun intended.. lol)
Mzee Mwanakijiji,
kwi kwi kwi
In short taifa lenu limepranganyika... kila siku watu wanakwepa issue muhimu kwenye taifa letu... nalo ni KUFANYAKAZI KWA BIDII na Maarifa... na KUKUZA UCHUMI.
Hizi siasa na spinning zisizoisha hazilisaidii taifa hata kidogo!!!
Anyway muda si muda hata hili mtasahau pia... kwani la Balali, Amina Chifupa, Mama Mbatia... si mumeshasahau?