Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

Status
Not open for further replies.
Ndio maana jana nilisema kuwa kuna maneno mengi sana kuhusu hii ajali, naona kabla ya mazishi tayari zimeanza, kweli hili ni balaa!
 
Siisemei CHADEMA wala Zitto wala Slaa wala Mnyika wala Mpaka Kieleweke bali natoa hisia zangu mwenyewe kuhusu kifo cha Wangwe.

Ni ukweli usiofichika kuwa kuna dalili za zengwe kwenye kifo hiki. Nazo zimejikita kwenye nafasi ya:
1. Kijana huyu Deus ambaye sijajua kwa nini alisafiri na Chacha, ana
uhusiano gani naye na ni uhusiano wa muda gani? Kwenye uhusiano wao
ni lipi Chacha anajua na ni yapi yaliyo siri dhidi ya Chacha. Kwa taarifa
tulizo nazo huyu kijana ndiye aliyeshawishi safari ifanyike.

2. Ni nguvu gani ilikuwa nyuma ya Chacha ya
kumlazimisha/kumharakisha/kumshawishi Chacha kwamba kwa lazima
aende DSM siku ile ile licha ya kuugua sana na familia yake kumzuia
kusafiri. Najua kuwa kesho yake alikuwa ahudhuria mazishi ya Mzee
Munanka. Lakini bado sijajiridhisha kuwa hilo lilikuwa na ulazima na
umuhimu kiasi cha kuweka mbali vikwazo vyote vya safari vilivyotokea
kwake siku hiyo.

3. Niliwasikiliza TBC1 wakicover habari ya kifo cha Chacha Wangwe jana
asubuhi. katika mzungumzo yao walikuwa wakiconclude kuwa Kifo hiki
kimetokea siku chache baada ya Wangwe kuwa na mgogoro na chama
chake. NIliwaelwa vibaya sana TBC 1. Kwani inaonekana wazi kuwa nia ya
yao ilikuwa kuhusianisha kifo hicho na mgogoro wa chama. Sentensi hiyo
haikuwa na umuhimu wowote katika kumtambulisha Chacha kwa umma.

Mambo haya yameniweka mimi kwenye wasiwasi wa haki kwenye kifo cha Wangwe.
All in all nakubaliana na wote kuwa hiki ni kifo cha kawaida kabisa kilichotokana na ajali ya barabarani ingawaje naamini kuwa uchunguzi wa kina ukifanyika tutaweza kupata kahabari ambako kataonyesha kuwa vita ile ile ya kupambana na WM Pinda, Sayeed Kubenea na Spika Sitta na wakweli wengine wote ndani na nje ya bunge inaendelea kwa namna hii.

Mathalan itamsikitisha yeyote mwenye utashi wa kiutu na akili ya kawaida ya kiwango cha kupembua mambo ya kisiasa kwamba eti CHADEMA wanahusishwa na kifo hiki. Huu ni utoto, upotoshaji, uvivu wa kufikiria, ushambenga na kwa hakika ni dhuluma kubwa kwa umma wa watanzania.

Jukwaa hili haliwezi kujicontradict kiasi hicho. Eti para hii inaelezea kuwa CHADEMA ni mtambo wa kupambana na mafisadi halafu para nyingine inaelezea kuwa CHADEMA ni kinyongeo cha wapambanaji. Please people be fair. Take more time to swim in reality.

The war against graft is not that much easy. It takes a lot of risk to combatants. And I admit this is just one of them. The corrupt are as brave and smart. they know how to smash any move against them. They are also very smart in creating implications against their enemies. Discussants in JF be watchfull.

Haya!!!!!!!!
 
CHADEMA hao wanataka kujivua wao lawama na kupeleka kwa wengine.

Waacheni polisi wafanye uchunguzi wao bila kuingiliwa na wanasiasa.

Hiyo ni ajali tu na sidhani kama kuna mkono wa mtu yeyote.

Kuna mambo mengi sana ya kujifunza hapo, je dereva alifunga mkanda? Kwanini madereva TZ hawapendi kufunga mikanda?

Tutaendelea kutafuta wachawi kwenye vifo vya ajali na kuacha sababu za msingi ambazo zinajulikana na tunashindwa kuzifanyia kazi.
 
b. Kama maelezo kuwa kichwa cha Wangwe kiliharibiwa sana hadi kushindwa kutambulika kuwa ni Wangwe; na kama Malya alikuwa amepoteza fahamu kwa muda hadi "vibaka" wakaja kukusanya masanduku, laptop n.k na kutokomea navyo;
i. Nani alimtambua Wangwe (kama kichwa chake kiliharibika vibaya?)
ii. Nani aliyepiga simu mwanzoni kutoa taarifa ya ajali? haiwezekani kuwa ni Malya..
iii. Mtu huyu aliyepiga simu alisema "nani kapata na ajali" kama alisema ni Wangwe angalia (i) ina maana aliweza kumjua mara moja licha ya kichwa kuharibika.
iv. Sijui voucha zinatumikaje kwenye simu; unaiingiza pale unapoinunua au unaweza kuingiza wakati unataka kutumia simu? Nani aliyekuwa anaendesha gari wakati wa kununua voucher na wakati wa ajali pamoja na commotion yote hiyo Malya aliweza vipi kupata simu yake, na voucher (assuming haikuwa tayari imeingizwa kwenye simu) ukizingatia na yeye alikuwa ni mhanga wa ajali.
Swali hili ni la Omar Mganga, nani aliyempigia simu kuwa kumetokea ajali na nani alimtambulisha kuwa aliyefariki ni Chacha Wangwe?

v. Hiyo Cliniki ya karibu hapo huwa inakuwa na gari la wagonjwa masaa 24? Na polisi wanakuwa eneo la Pandambili usiku huo kwa kawaida au walikuwa assigned kuzunguka eneo hilo wakati huo? Nina maana it is too coincidental kuwa na ambulance karibu, polisi karibu, simu karibu n.k

vi. Simu ya Wangwe imekuwa recovered? I would like to know the last call that went to that phone not the one that went from it.


Napata shida kidogo kuelewa kama Malya alikuwa alert au amepoteza fahamu, maana katika mahojiano yake hapo chini yanaonyesha alikuwa na fahamu na kuweza kuelewa mara moja nini kimetokea punde tu walipopata ajali....kuna utata hapa kwenye maelezo ya huyo Malya!!


Quote:
Speaking to reporters who paid him a visit at the hospital, Malya said Wangwe told him to move to the back seat to rest.

``� cannot forget what took place at the scene (of the accident). I don't believe that I have escaped death and I am still alive,`` he said.

``I was seated in the front seat and was dozing off before the accident, but he advised me to move over to the back seat because it was not safe where I was seated,`` he said.

Malya said they stopped over on the way to buy recharge vouchers before they proceeded with their journey.

``We were at Pandambili when I heard a great bang and saw a cloud of dust. It is then that I realised that the car`s tyre had burst. The vehicle was engulfed in dust. Wangwe moved from where he was seated to the place where I was with his head touching my legs. His seat had squeezed me as my seat belt was tight,`` he explained.

He said by the time he wanted to see more on what had taken place, he realized that Wangwe's head had sustained a fracture and a lot of blood was coming out.

``My body was soaked in blood, but that blood was not mine but Wangwe`s,`` he said.

Commenting on Malya`s condition, Dodoma Regional Medical Officer Dr Godfrey Mtei said it was improving, adding that he was still undergoing treatment.

source; http://www.ippmedia.com/ipp/guardian...30/119515.html
 
Huu ndiyo undumilakuwili wa SIRI KALI ambao Watanzania wengi tunauchukia!!! Iko wapi autopsy report kuhusiana na vifo vya Ballali, Amina Chifupa, Mama Mbatia ambao wote vifo vyao vilikuwa vimegubikwa na utata mkubwa? Au autopsy inafanywa pale tu aliyefariki ni kutoka chama cha upinzani? :confused::confused::confused:

Late Wangwe's body set for autopsy: Hundreds attend huge wake in his memory

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

A FORMAL inquiry has been opened into the cause of the road accident that resulted in the untimely death on Monday night of Tarime Member of Parliament on an Opposition CHADEMA ticket, Chacha Zakayo Wangwe.

The Speaker of the National Assembly, Samuel Sitta, announced yesterday that top pathologists from the Muhimbili National Hospital in Dar es Salaam are expected to perform an official autopsy on the late Wangwe's body, currently interned at the Dodoma Regional Hospital.

Sitta told a hushed House session that the pathologist(s) would team up with other doctors, police, Bunge office staff and relatives of the deceased to carry out the autopsy and confirm the actual cause of death.

It is understood that such autopsies are part of normal procedure in cases of this kind.

The 52-year-old Tarime legislator was instantly killed in the car crash that occurred at Pandambili Village along the Dodoma-Morogoro highway, as he was driving himself to Dar es Salaam in his personal Toyota Corolla saloon vehicle.

The solitary passenger accompanying him, identified as one Deus Mallya, who was seated in the back seat of the car, survived the accident with heavy bruising and a reportedly dislocated leg.

Reports say the car in which they were traveling overturned several times before coming to rest some 50 metres away from the main highway, with the MP being pronounced dead on the spot.

There are also reports that Wangwe had been complaining of feeling symptoms of malaria even before he started his journey to Dar es Salaam.

President Jakaya Kikwete and Speaker Sitta were amongst hundreds of people, including government officials, fellow MPs, and other politicians, who attended a long wake held at the late Wangwe's home in Dodoma from early afternoon yesterday. Numerous condolence messages were also flowing in.

It was later confirmed that the deceased is scheduled to be buried tomorrow in his home village located some 12 kilometres from Tarime township in Mara Region.

According to one of his sons, 18-year- old Zakayo Chacha, the late Wangwe had not been feeling well since Thursday when they arrived in Dodoma from Dar es Salaam, and had been taking medication ever since.

''My father was complaining of headaches and body pains and general weakness,'' Chacha junior said.

He had been intending to present a private motion in Parliament to address ongoing clan disputes and cattle rustling in his Tarime Constituency.

Chacha junior said his father had told him he visited a Dodoma hospital on Monday, where he was tested, found to have plus-3 malaria parasites, and given ALU and Panadol tablets.

The son also said the Toyota Corolla had been taken by Mallya to a local garage for some minor repairs earlier on the fateful Tuesday.

He said shortly after Wangwe and Mallya first started off on their journey to Dar es Salaam, the MP phoned him (Chacha junior) and said they were returning to Dodoma for further repairs because apparently the car was still not in good working order.

''They did indeed return and went for the additional repairs. My father had also forgotten his mobile phone charger, so he came home to collect it, and then they resumed their trip to Dar es Salaam,'' narrated Chacha junior.

Meanwhile, Mallya the passenger who survived the fatal accident - has said that the late MP saved him from death.

Speaking to reporters who visited him at the hospital where he was also admitted with various injuries, Mallya said Wangwe had told him to move away from the front seat and sit in the back instead.

''During the early part of our trip, I was seated beside him in the front, dozing. He told me that where I was seated was not safe, and urged me to move to the back seat to sleep properly,'' Mallya said.

According to Mallya, it was as they approached Pandambili Village that I heard a great loud bang one of the vehicle's tyres had burst.

He continued: ''The car was full of dust. I found Wangwe's head touching my legs and his (driver's) seat pressing me, while I myself was also tightened by the seat belt I had on.''

He said when he regained his senses, he realized that a lot of blood was coming from the MP's head. ''My whole body was covered in blood but that blood was not mine it was Wangwe's.''

According to the Dodoma Regional Hospital medical officer, Dr Godfrey Mtei, Mallya's condition was improving though still admitted.

Meanwhile, the ongoing parliamentary session resumes today with the Ministry of Home Affairs budget proposals for 2008/09 scheduled to be presented.
 
Nashindwa kuelewa jambo moja kwani nipo njia panda huyu Mallya hatambuliki na Chadema?Na watoto wa wangwe ni lipi wanalolifahamu kuhusu ajali hii?Polisi kweli wafanye uchunguzi ila nadhani Chadema wanataka kutumia tishio la Zitto Kabwe kama scapegoat.hata kama they had a hand in these waonekane the innocent ones.
 
Napata shida kidogo kuelewa kama Malya alikuwa alert au amepoteza fahamu, maana katika mahojiano yake hapo chini yanaonyesha alikuwa na fahamu na kuweza kuelewa mara moja nini kimetokea punde tu walipopata ajali....kuna utata hapa kwenye maelezo ya huyo Malya!!


Quote:
Speaking to reporters who paid him a visit at the hospital, Malya said Wangwe told him to move to the back seat to rest.

``� cannot forget what took place at the scene (of the accident). I don't believe that I have escaped death and I am still alive,`` he said.

``I was seated in the front seat and was dozing off before the accident, but he advised me to move over to the back seat because it was not safe where I was seated,`` he said.

Malya said they stopped over on the way to buy recharge vouchers before they proceeded with their journey.

``We were at Pandambili when I heard a great bang and saw a cloud of dust. It is then that I realised that the car`s tyre had burst. The vehicle was engulfed in dust. Wangwe moved from where he was seated to the place where I was with his head touching my legs. His seat had squeezed me as my seat belt was tight,`` he explained.

He said by the time he wanted to see more on what had taken place, he realized that Wangwe's head had sustained a fracture and a lot of blood was coming out.

``My body was soaked in blood, but that blood was not mine but Wangwe`s,`` he said.

Commenting on Malya`s condition, Dodoma Regional Medical Officer Dr Godfrey Mtei said it was improving, adding that he was still undergoing treatment.

source; http://www.ippmedia.com/ipp/guardian...30/119515.html

Mallya hakupoteza fahamu .hicho ndicho kinatia shaka zaidi,maana mara nyingi ajari ikitokea huwezi chunguza nini na kipi na kwanini .
 
Nafikiri chadema wako sawa kabisa ni kazi ya polisi kutoa dukuduku kama zipo, hili Umma wa watanzania uelewe nini haswa kilitokea kama kumekuwepo na maelezo tofauti. Kama kweli huyo Mallya hajulikani ni vizuri pia polisi wakaeleza ni nani haswa? Hilo halina ubishi. Na kwa nini akae kiti cha nyuma wakati watu wako wawili kwenye gari na hilo pia litajulikana.
 
Haya sasa,

Jambo limezua jambo. Yanayosemwa Tarime ni mengi sana kuhusiana na kifo cha mbunge wetu Chacha Wangwe. Tetesi zimekuwa nyingi na washukiwa ni wengi hadi inatia simanzi zaidi kuliko faraja.

Wengine wanasema:

1. Serikali imehusika
2. Rostam Azizi amehusika
3. Chadema wamehusika
4. CCM wanataka jimbo la Tarime.
5. Makampuni ya kuchimba madini
6. Wakereketwa wasiompenda Wangwe
7. Kifo ni cha kawaida kama vifo vingine

Ombi kwa wakazi wa Tarime, tusikubali kugawanywa na vyombo vya habari - TBC hadi vile vya habari corporation ambao wanataka kuleta mgawanyiko wa kikabila na kikoo Tarime.

Tuwe na nguvu na tumalize maombolezo kwa amani na turudi kujenga taifa na jimbo letu ambalo liko nyuma sana kimaendeleo.
 
Something is fishy here?Why Did Mallya take the car to the garage?This must be heavily checked and what was actually wrong with the car as well as his past connections with any govt leaders and wether he had any fishy dealings with either any big top either with the rulling party or Chadema.
That is to say he holds the mystery to this accident.
 
Something is fishy here?Why Did Mallya take the car to the garage?This must be heavily checked and what was actually wrong with the car as well as his past connections with any govt leaders and wether he had any fishy dealings with either any big top either with the rulling party or Chadema.
That is to say he holds the mystery to this accident.


Waandishi walioko Dodoma, kwanini hawajaenda hapo gereji?
 
Watanzania, nchi yetu iko mahali pagumu sana; kufikiria kwamba ati kwa vile ajali imetokea basi tukubali tu tutafungulia mlango mbaya sana huko mbeleni. Mimi sitaki kuhisi nani amehusika au la, lakini maswali muhimu lazima yajibiwe to the satisfaction. Huu mtindo wa kukubali maelezo tu kwa vile mtu keshakufa tutafikishana kubaya sana.

Siku za karibuni kumekuwa na matukio ya uhalifu wa ajabu sana; na kwa kadiri ya kwamba tunaendelea kukubali kuwa mambo ndivyo yalivyo na "ni mapenzi ya Mungu" siku moja tutaambiwa kuwa ni "mapenzi ya Mungu" sisi kuwa maskini.

Mawazo yangu yananituma kuamini kuwa hii ni ajali tu; lakini pamoja na kutaka kupokea ukweli huo maswali ambayo yako kichwani yananikataza kuukubali kirahisi hivyo. Mnakumbuka kifo cha Ouko? Kama kusingekuwa na mambo fulani yasiyo sawa kwenye eneo la ajali watu wasingeuliza maswali. Watawala wa Kenya walitaka watu wakubali tu kuwa ni ajali na ujambazi tu.

Kuna watu wanaoweza kwenda mbali sana kufikia malengo yao. Siasa duniani zinaonesha hivyo. Kwa sababu tukikubali ajali zisihojiwe kwa vile ni ajali tu, believe me kuna watu watakuwa wamepata leseni ya ajabu sana.

a. Mtasikia mwanasiasa fulani nyumba yake imeungua na yeye mwenyewe amefia humo. Mtaambiwa chanzo cha moto ni khitilafu ya umeme. Tatizo kulikuwa hakuna umeme wakati moto umeanza!

Tuamini kuwa ni ajali, lakini tuhoji ili tuhalalishe kuwa ni ajali. Lakini tusipohoji na kuridhishwa na majibu au tukiambiwa tu ni mapenzi ya Mungu na tukakubali basi mjue tutakuwa tumetoa leseni kubwa sana kwa watu wenye nia mbaya.
 
Mallya hakupoteza fahamu .hicho ndicho kinatia shaka zaidi,maana mara nyingi ajari ikitokea huwezi chunguza nini na kipi na kwanini .

...duuuh!

huyo jamaa (Malya) akiyasikia yanayosemwa na wananchi 'naona' atawish tu bora naye angekufa kuliko anavyoonekana amekula njama za kumuua Mheshimiwa!

scenario 2; Hivi angekufa Malya, Chacha Wangwe atoke unscathed, hadithi ingekuwaje?

Kumbe ndio maana VIPs Mh.Mudhihir, na Mh.Prof Kapuya hawana hatia kwenye ajali zao eeh?

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
 
Malya alikuwa ni dereva wa Wangwe au alikuwa ni rafiki tu ya karibu? Nani aliyepiga simu ya kwanza kutambulisha kuwa Wangwe amepata ajali na kufariki papo hapo?
 
CHADEMA hao wanataka kujivua wao lawama na kupeleka kwa wengine.

Waacheni polisi wafanye uchunguzi wao bila kuingiliwa na wanasiasa.

Hiyo ni ajali tu na sidhani kama kuna mkono wa mtu yeyote.

Kuna mambo mengi sana ya kujifunza hapo, je dereva alifunga mkanda? Kwanini madereva TZ hawapendi kufunga mikanda?

Tutaendelea kutafuta wachawi kwenye vifo vya ajali na kuacha sababu za msingi ambazo zinajulikana na tunashindwa kuzifanyia kazi.

Hivi Mtanzania unaongea vitu gani?

Kwani wanachosema kina Slaa si the same thing unachosema na kila mtu anachosema?

Kwamba polisi watowe taarifa ya uchunguzi na maswali yajibiwe?

Kwanza kabisa ungekuwa unasukumwa na kutaka kuujuwa ukweli na si mapenzi a chama..Basi ungejiuliza ni kivipi Marehemu alikuwa na dereva anayeitwa Deus Mallya na ambaye hata hivyo hatambuliwi na chadema wala hata uongozi wake licha ya kwamba yeye alikuwa ni mbunge kwa kupitia chama hicho na pia kama mwenyekiti wa mkoa?

Wala kina Slaa hawamjui huyo nyoka anayeitwa Deus Mallya na uhusiano wake na marehemu hautambuliwi na chadema na kwa hiyo wanataka kujuwa kulikoni mbunge na kiongozi wa chama chao alijihusisha vipi na huyo NYOKA NAYEITWA DEUS MALLYA?

Na hata Zitto alivyolazwa siku ambayo alikuwa akazungumzie mambo ya madini mliona ni kitu kidogo nyie mamluki!?

Hamuoni nchi iko hatarini hiyo?

Na hata sisi tunaopiga kelele unafikiri hatujui hatari yake?

Achunguzwe huyo nyoka!

Tena muwe makini maana na yeye anaweza kuuwawa...Ndiyo mafia style hiyo...Wanataka waanzishe vita vya kikabila....Sasa usishangae wakiwalisha sumu watu wakina Wangwe ili nao waende kulipa kisasi kwa wachagga...Ni mbinu ya kutugawa ili madini yabakie kwa wachache!

Jesus christ...Watanzania amkeni.
 
Na kwa nini akae kiti cha nyuma wakati watu wako wawili kwenye gari na hilo pia litajulikana.


"Tulianza safari kama majira ya saa moja hivi, sasa wakati tuko njiani kilomita kama 20 kutoka Kisasa, mimi nilianza kusinzia nikiwa seat ya mbele (kiti), marehemu akaniambia hapo huko safe (salama), hama rudi nyuma kalale kwenye kiti."


Huu ni mwanzo wa simulizi wa ajali hiyo mbaya ya gari ndogo aina ya Toyota Corolla Limited, ambayo imesababisha kifo cha Wangwe na kushtua taifa na kusababisha majonzi makubwa kwa Watanzania, wa kada mbalimbali.

Malya anasema wakiwa njiani kabla ya ajali, marehemu alisimama sehemu kununua muda kwa maongezi ndipo yeye akarudi kiti cha nyuma kama alivyokuwa ametahadharishwa na marehemu Wangwe.

"Baada ya kusimama, mimi nikarudi nyuma huku nasinzia, lakini nikiwa nimefunga mkanda, kisha akawa anaendesha gari akiniambia tungelala Morogoro ili leo (jana), tuanze safari ya Dar es Salaam kuwahi msiba wa mzee Boke Munanka," anasema na kuongeza:

"Yeye akiwa anaendesha katika mwendo wa kasi lakini haikufika 120, sasa ghafla tukiwa eneo la Pandambili, nilisikia mshindo mkubwa huku gari ikiwa imefunikwa na vumbi jingi kiasi kwamba sikuweza kujitambua mara moja."

"Wakati nikijiangalia, nikamkuta marehemu ametoka kiti chake cha mbele akatupwa hadi nyuma kwangu nilikokuwa nimekaa, kichwa chake kikawa katika miguu yangu akapasuka eneo la kichwa na kifua kisha akatokwa na damu nyingi sana."



source: Mwananchi Communication
 
...duuuh!

huyo jamaa (Malya) akiyasikia yanayosemwa na wananchi 'naona' atawish tu bora naye angekufa kuliko anavyoonekana amekula njama za kumuua Mheshimiwa!

scenario 2; Hivi angekufa Malya, Chacha Wangwe atoke unscathed, hadithi ingekuwaje?

Kumbe ndio maana VIPs Mh.Mudhihir, na Mh.Prof Kapuya hawana hatia kwenye ajali zao eeh?

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Kabisaa nakubaliana na wewe hapa..huyu jamaa mfano akipita hapa JF nadhani atajiona kama ndo ivo anakamatwa na polisi!
 
CHADEMA hao wanataka kujivua wao lawama na kupeleka kwa wengine.

Waacheni polisi wafanye uchunguzi wao bila kuingiliwa na wanasiasa.

Hiyo ni ajali tu na sidhani kama kuna mkono wa mtu yeyote.

Kuna mambo mengi sana ya kujifunza hapo, je dereva alifunga mkanda? Kwanini madereva TZ hawapendi kufunga mikanda?

Tutaendelea kutafuta wachawi kwenye vifo vya ajali na kuacha sababu za msingi ambazo zinajulikana na tunashindwa kuzifanyia kazi.


Sidhani kama Chadema wanataka kutupia watu mpira kwani kuna maswali yanayohitaji majibu hapo, hata kama ni kifo cha kawaida, lazima hayo maswali yajibiwe na iwekwe hadharani. Kama chama cha siasa nadhani wana haki na wana haki kwa sababu baadhi ya maswali waliyouliza yanaulizwa na watu wengi na hivyo wengekuwa wapuuzi sana kama na wao wasingetoa tamko linaloendana na matakwa ya wananchi wengi. Kuna kila sababu ya Chadema kama chama cha siasa kusema jambo na kuegemea upande wa umma. Hivi sasa CCM wanatumia msiba huu huu kujijenga na sasa usishangae wakatumia kifo cha Wangwe kujijenga kwa wananchi wa Tarime na kulichukua jimbo. Habari ndio hiyo
 
Haya jingine hilo la kunote "Alishuka kwenda kununua muda wa maongezi".jamani lets wake up tuwe quick witted.try and connect this dots.Something is wrong somewhere.Gari gereji na muda wa maongezi what if he was giving some info about where they were heading to?Mind you huyu ni dereva hana uwezo mzuri kifedha hivyo could be easily cheated to harm this person.
Investigation is necesary and of paramount importance.

Naomba muangalie haya maswali hapo chini yaliyoulizwa na mmoja wa JF Members kwenye thread ya kifo cha Chacha Wangwe then give a thought of what Mallya be a prime suspect.

Ni ukweli usiofichika kuwa kuna dalili za zengwe kwenye kifo hiki. Nazo zimejikita kwenye nafasi ya:
1. Kijana huyu Deus ambaye sijajua kwa nini alisafiri na Chacha, ana
uhusiano gani naye na ni uhusiano wa muda gani? Kwenye uhusiano wao
ni lipi Chacha anajua na ni yapi yaliyo siri dhidi ya Chacha. Kwa taarifa
tulizo nazo huyu kijana ndiye aliyeshawishi safari ifanyike.

2. Ni nguvu gani ilikuwa nyuma ya Chacha ya
kumlazimisha/kumharakisha/kumshawishi Chacha kwamba kwa lazima
aende DSM siku ile ile licha ya kuugua sana na familia yake kumzuia
kusafiri. Najua kuwa kesho yake alikuwa ahudhuria mazishi ya Mzee
Munanka. Lakini bado sijajiridhisha kuwa hilo lilikuwa na ulazima na
umuhimu kiasi cha kuweka mbali vikwazo vyote vya safari vilivyotokea
kwake siku hiyo.
 
...duuuh!

huyo jamaa (Malya) akiyasikia yanayosemwa na wananchi 'naona' atawish tu bora naye angekufa kuliko anavyoonekana amekula njama za kumuua Mheshimiwa!

scenario 2; Hivi angekufa Malya, Chacha Wangwe atoke unscathed, hadithi ingekuwaje?

Kumbe ndio maana VIPs Mh.Mudhihir, na Mh.Prof Kapuya hawana hatia kwenye ajali zao eeh?

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.


Tatizo Mallya maelezo yake yanachanganya ,labda bado ame data na ajali.

Watu hapa hawahoji CHACHA kufa ila Mazingira ya Ajali.

Nafikiri RIP AKiKWETI alikua maarufu kuliko RIP CHACHA lakini mazingira ya ajali ya AKiKWETI yalikua clear ndio maana watu hawakuohoji zaidi ya kulaumu miundo mbinu yetu.

Manzingira ya ajali ya RIP Chacha ni tata.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom