Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,041
Oyooooooo...Lengai kala sete
Oyooooooo...Lengai kala sete
Mkombozi uwe ww?🤣🤣Nimeweka makusudi ili kujua black masks white souls aka mbwa wa kujitakia wa wazungu. Hivyo, nakubaliana na ushauri wako. kuwa nina matatizo ya akili ya ukombozi wa weusi wasiojitambua ambao kwa mfano Tanzania wameachia wahindi wawabugue na kuwaibia bila kujitetea.
Heri mimi kilaza kuliko wewe msengeee unayewaabudia wazungu bila kujua chochote. What a piece of shit that you are
Mwingereza aliondoka Tanganyika bila kuwa na kesi za ugaidi wala kuacha wafungwa wa kisiasa.Tukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
Mbona wameshasema ni terrorism, sasa unacholia lia ni nini wewe?Oyooooooo...
Mkuu umenena. Wazungu, wakiwemo Waingereza, ni wabaguzi sana.Tukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
Wewe utakuwa una ubaguzi zaidi ya wazungu, maana hata hao wazungu wenyewe wanaotuhumiwa humu ila bado huwa wanaingilia nchi za wengine kwa kupigania kama tulivyoona Libya au wakati mwengine husitisha misaada katika nchi ambazo hakutendeki haki.Pigania haki nchini kwako, ya wazungu yamekuvuka kimo kwa mbali sana.
Afadhali ipi unayoizungumzia? sio lazima ubaguzi ambao wanafanya waarabu basi na wazungu nao wafanye kwa namna hiyo hiyo au ubaguzi anaofanya mzungu basi na muafrika afanye hivyo hivyo pia. Tusichague matukio tu ya ubaguzi bali tuangalie ubaguzi kwa ujumla wake.Kwa vyovyote vile wazungu ni afadhali. Waafrika, Wahindi, Wachina na Waarabu ni wabaguzi zaidi ya mzungu
Mbona Chadema wanabaguliwa na CCM ambayo ina aamuru dola iwawinde kama nguchiro.Tukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
Na nyinyi waafrika, si mtulie kwenye Nchi zenu, mnafuata nini huko kama mnaona mnanyanyasika. Mmekaza kwenda kwao wakti nchi zenu ziko na fursa kibao. Mnapenda kubeba BOXTukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
SaafiPigania haki nchini kwako, ya wazungu yamekuvuka kimo kwa mbali sana.
fata yako, ya wazungu ya nini na wakati hapa home kina makonda wameteka na kuua watu hovyo kwa kulinda uporaji waoTukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
Ni kama unaongea kwa rivas. Kulia ni kupi na kushangilia ni kupi we mbwiga?. Nimlilie jambazi?Mbona wameshasema ni terrorism, sasa unacholia lia ni nini wewe?
Maadam tuliumbwa kwa race tofauti na kukawa na madaraja kimtizamo na hata kiuhalisia. japo hapa inahitaji ujasiri kuukubali ukweli huu.Mkuu umenena. Wazungu, wakiwemo Waingereza, ni wabaguzi sana.