Kifo cha mbunge wa Uingereza Sir David Amess na ubaguzi wa wazi wa wazungu wa kimfumo

5C60AF5B-8F97-4C2E-A560-C9A79D5AB274.jpeg


Huyu ni MP….Sarcasm zimeanza!!
 
Nimeweka makusudi ili kujua black masks white souls aka mbwa wa kujitakia wa wazungu. Hivyo, nakubaliana na ushauri wako. kuwa nina matatizo ya akili ya ukombozi wa weusi wasiojitambua ambao kwa mfano Tanzania wameachia wahindi wawabugue na kuwaibia bila kujitetea.
Mkombozi uwe ww?🤣🤣
 
Tukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
Mwingereza aliondoka Tanganyika bila kuwa na kesi za ugaidi wala kuacha wafungwa wa kisiasa.
 
Tukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
Mkuu umenena. Wazungu, wakiwemo Waingereza, ni wabaguzi sana.
 
Pigania haki nchini kwako, ya wazungu yamekuvuka kimo kwa mbali sana.
Wewe utakuwa una ubaguzi zaidi ya wazungu, maana hata hao wazungu wenyewe wanaotuhumiwa humu ila bado huwa wanaingilia nchi za wengine kwa kupigania kama tulivyoona Libya au wakati mwengine husitisha misaada katika nchi ambazo hakutendeki haki.
 
Kwa vyovyote vile wazungu ni afadhali. Waafrika, Wahindi, Wachina na Waarabu ni wabaguzi zaidi ya mzungu
Afadhali ipi unayoizungumzia? sio lazima ubaguzi ambao wanafanya waarabu basi na wazungu nao wafanye kwa namna hiyo hiyo au ubaguzi anaofanya mzungu basi na muafrika afanye hivyo hivyo pia. Tusichague matukio tu ya ubaguzi bali tuangalie ubaguzi kwa ujumla wake.
 
Tukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
Mbona Chadema wanabaguliwa na CCM ambayo ina aamuru dola iwawinde kama nguchiro.
 
Tukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
Na nyinyi waafrika, si mtulie kwenye Nchi zenu, mnafuata nini huko kama mnaona mnanyanyasika. Mmekaza kwenda kwao wakti nchi zenu ziko na fursa kibao. Mnapenda kubeba BOX
 
Tukio la kuchomwa visu na kufa kwa mbunge mmoja wa Uingereza Sr David Amess kimefichua ubaguzi wa wazi wa kimfumo wa wazungu. Pamoja na muuaji kukamatwa, bado wanasema kitendo hiki si cha kigaidi. Kama muuaji angekuwa siyo mzungu polisi wangemmaliza kwa risasi. Wala wasingeendelea kushikilia kuwa hawajajua kama tukio hili ni la kigaidi ama la. Zaidi, wasingeficha jina la mhusika kama angekuwa siyo mzungu. Kwa wanaowaona wazungu kama watu wasio wabaguzi na watenda haki, hapa kuna somo kubwa tu. Kwa waliowahi kuishi au wanaoishi Ulaya na Marekani hata nchi nyingine kama vile za Asia au Amerika ya kusini hata Australia, watakubaliana na ukweli kuwa wazungu ni wabaguzi na wenye upendeleo wa wazi hata kufikia kulinda uhalifu kama huu aliofanyiwa huyu mbunge. Tukio jingine la la kijana mmoja nchini Norway ambapo kijana mmoja wa kizungu ametumia mishale kuwaua watu watano na kujeruhi wawili. Hakuuawa na polisi na bado wanasema eti alikuwa radicalized na siyo gaidi. Haki iko wapi hapa?
fata yako, ya wazungu ya nini na wakati hapa home kina makonda wameteka na kuua watu hovyo kwa kulinda uporaji wao
 
Mkuu umenena. Wazungu, wakiwemo Waingereza, ni wabaguzi sana.
Maadam tuliumbwa kwa race tofauti na kukawa na madaraja kimtizamo na hata kiuhalisia. japo hapa inahitaji ujasiri kuukubali ukweli huu.

Basi haya ya kubaguana tutaendelea kuishi nayo hapa Duniani hata kama sio kwenye Mwanga itafanyika hata gizani.
 
Back
Top Bottom