Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Mandela hakuwakomboa weusi wenzake bali aliwasaliti
kwani weusi wenzake hawajapata tarajio lao hata moja na makaburu hawajapungukiwa na chembe bali maslahi yao ndio yamezidi tena katika mazingira mwanana ya kuonekana si wavamizi.
Kifo cha mandela ni pigo kwa wakoloni na si kwa waafrika.
kwani weusi wenzake hawajapata tarajio lao hata moja na makaburu hawajapungukiwa na chembe bali maslahi yao ndio yamezidi tena katika mazingira mwanana ya kuonekana si wavamizi.
Kifo cha mandela ni pigo kwa wakoloni na si kwa waafrika.