Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 471
Nimesikitishwa na taarifa za kifo cha mzee wetu Mandela kama watu wengine wengi wapenda haki duniani watakavyokuwa wameguswa,ni kweli kuwa kwa umri wake yapasa kumshukuru Mungu lakini kitendo cha yeye kuwa mzima ilitupa faraja kubwa sana.
Naomba siku tatu za maombolezo zilizotolewa na serikali yetu ziwe za matafakuri makubwa juu ya misingi ya utu aliyoipigania Mandela,mzee huyu alipinga ubaguzi kwa kila njia aliyoweza,leo nchini kwetu ubaguzi ndiyo fasion kwa watawala,mfano siku hizi kuna mahakama za wenye nazo na wasio nazo,kibaka tajiri kosa lake hubatizwa jina jingine na hutamkwa kama "mambo binafsi"sheria
zimepindishwa na kununuliwa na matajiri,najiuliza hivi serikali ya CCM inaujasiri wa kumuenzi Mandela na wakati wanaua hadharani,wanabambikia kesi watu,wanateka,wanafungia vyombo vya habari,wanang'oa kucha na meno ya wanaharakati,naamini Mandela asingependa CCM ya leo iguse jeneza lakewala kushiriki msiba wake kwa namna yoyote ile.
Kwa wanaharakati huu ni mwanzo mpya wa kupigania uhuru wa kweli.Mapambano yanaendelea,leo nitamwongelea kidogo kwenye mkutano wa leo hapa Jimbo la Kisesa.
Naomba siku tatu za maombolezo zilizotolewa na serikali yetu ziwe za matafakuri makubwa juu ya misingi ya utu aliyoipigania Mandela,mzee huyu alipinga ubaguzi kwa kila njia aliyoweza,leo nchini kwetu ubaguzi ndiyo fasion kwa watawala,mfano siku hizi kuna mahakama za wenye nazo na wasio nazo,kibaka tajiri kosa lake hubatizwa jina jingine na hutamkwa kama "mambo binafsi"sheria
zimepindishwa na kununuliwa na matajiri,najiuliza hivi serikali ya CCM inaujasiri wa kumuenzi Mandela na wakati wanaua hadharani,wanabambikia kesi watu,wanateka,wanafungia vyombo vya habari,wanang'oa kucha na meno ya wanaharakati,naamini Mandela asingependa CCM ya leo iguse jeneza lakewala kushiriki msiba wake kwa namna yoyote ile.
Kwa wanaharakati huu ni mwanzo mpya wa kupigania uhuru wa kweli.Mapambano yanaendelea,leo nitamwongelea kidogo kwenye mkutano wa leo hapa Jimbo la Kisesa.