Basi kama ulikuwa hupo huna haki yakutoa commentUlitaka kila anayekomenti kuhusu hiyo habari angekuwepo?
Si mahali hapo pasingetosha.. ndiyo maana kulikua mawakala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kama ulikuwa hupo huna haki yakutoa commentUlitaka kila anayekomenti kuhusu hiyo habari angekuwepo?
Si mahali hapo pasingetosha.. ndiyo maana kulikua mawakala.
watekwaji wengi hufir.wa na kurekodiwa baada ya hapo hutishiwa ukisema tu tunaivujisha
Damu ya mtu haiendi bure mtakufa vibaya tuUnaonekana uko karibu sana na marehemu nenda kafungue kesi ili haki ipatikane ukishindwa kufanya hivyo basi ulichoandika ni uzushi mtupu.
Nadhani lengo la clip mwanzo ilikua kumtishia ukisema chochote tunazirusha....lkn pengine baadae ikatoka ushauri mmalizeni tu....labdaKama walijuwa watamuua unyama wote huu wa nini? Hizo clips wanataka kuzitumia kumtisha nani tena?
Sasa katika mkutada huu hapo imetumika authority ya yule mtoto wa kindergarten au force kwa wale walioenda jando.We jamaa bado unakomaa na mabaunsa??Hivi ukielekezewa bomba ukaambiwa ingia kwenye gari,utagoma?Kiulaini tu unabebwa!
sasa hiyo doti umeweka ya nini,mbona neno bado ni kali,hujaficha kitu,nadhani ulitaka kutumia doti kuficha herufi furani lakini hujafanya kituwatekwaji wengi hufir.wa na kurekodiwa baada ya hapo hutishiwa ukisema tu tunaivujisha
Kuna watu walitoka kigoma wakaja kujiulia dar muulize huyo uliye m copy toka instagram
Ndo maana nakushangaa unaposema mabaunsa,kwasasa nashauri watz wajikamue wamiliki silaha,wakija watu hawaeleweki wanakuvizia unawawashia moto tu kama Peter Zakaria,pengine leo angekuwa kashatangulizwa kama asingejitetea!Sasa katika mkutada huu hapo imetumika authority ya yule mtoto wa kindergarten au force kwa wale walioenda jando.
Na hiyo bastola au silaha iliyotumika alikuwa kaishika Katibu Mkuu , na walikuwa wa wawili tu? ? Utoto we mtoto. .....
hii ndio nini?,tarehe ya siku utakayofariki au?I977i8
Sijui tu,,ila nataman wataalamu wa jadi haswaa wanaofahamika waingilie hili swala,waliohusika wote wawehuke ama watembee uchi nchi mzima tuwajue! Shenzy zao wahusika....hii nchi sasa inaogopeka mno
Katika watu wa kuhurumiwa Mambosasa asisahaulike
watekwaji wengi hufir.wa na kurekodiwa baada ya hapo hutishiwa ukisema tu tunaivujisha
Mmekula kuchwa chake,hilo liko wazi!Awamu hii itakapofika na ajaye akiamua kushughulikia hizi kesi,kuna watu wataishia jela!!!Kuna watu walitoka kigoma wakaja kujiulia dar muulize huyo uliye m copy toka instagram
We ni mgeni JF, kuna maneno yakiandikwa hayatokei yanaonyesha star jaribu kuandika **** uone kama litatokea.sasa hiyo doti umeweka ya nini,mbona neno bado ni kali,hujaficha kitu,nadhani ulitaka kutumia doti kuficha herufi furani lakini hujafanya kitu
mgeni nina kamba mguuni? acha maneno yakoWe ni mgeni JF, kuna maneno yakiandikwa hayatokei yanaonyesha star jaribu kuandika **** uone kama litatokea.
we umeandika ipi??nashangaa sana mleta uzi anataka tuamini yeye ndo kaandika wakati amecopy article ya Ngurumo kule facebuku