Kifo cha Jaji Rweyemamu ni funzo la kuishi wa uadilifu

Kisanduku

JF-Expert Member
Jul 9, 2009
284
482
Mitandao yote na kila kona watu wanalia au tunalia kifo cha Jaji Regina Reyemamu.

Hutokea kwa nadra sana jaji akifariki halafu umma wote usikitike kw sauti moja kama inavyotokea leo kwa Jaji Rweyemamu.

Hii ni uhibitisho kwama Jaji Rweyemamu alitenda haki. Tena wanaomlilia wengi ni wale wenye nafasi ndogo kwenye jamii.

Huwezi kuzungumza historia ya Mahakama ya Kazi (Labour Court) bila kumtaja Jaji Rweyemamu.

Hukumuza Jaji Rweyemamu zilipendwa na kila Advocate. Wafanyakazi walimpenda Jaji Rweymam alivyoamua kesi zao.

Sina mengi ya kusema kwamba ukiona jaji amefariki na jamii nzima inalia ni wazi alipendwa jinsi alivyotoa haki.

Jaji Rweyemamu alishastaafu lakini kifo chake kimetustua utadhani bado yuko mahakamani.

Wapo watu wakifariki watu wanasherehekea.

Hili ni funzo kwawatumish wa umma. Tunamlilia Jaji Rweyemamu kwa sababu hatuitaji kuambiwa utumishi uliotukuka.

Zipo hukumu alikosea lakini ukizisoma zilikuwa ni hukumu nzito kisheria na zilichambuliwa kisomi na wasomi.

Kuna hukumu moja Jaji Rweyemamu alikubali kubadili maamuzi yake ya nyuma kitu ambacho hutokea kwa nadra sana kwa majai wetu.

Jaji Rweyemam alikubali kukosolewa. Alijali sana interest of justice yaani hakupenda mawakili wanaoendekeza PO.

Hakuna harufu ya rushwa hata ya kuhisi kwa Jaji Rweyemamu.

Pumzika kwa amani Jaji Rweyemamu, unaliliwa na wanyonge wa nchi hii kitu ambacho ni nadra sana kwa mtu wa kiwango chako.

Watumishi mlioabaki mahaamani, bungeni, serikalini na kokote jiulize.

Je tutakulilia kama tunavyomlilia Jaji Rweyemamu?

UPDATE:
Hii ni moja ya Rulings zake
 

Attachments

  • Rweyemam.pdf
    147.2 KB · Views: 25
Alikuwa anaandika angalau page 5 za hukumu tofauti na waamuzi wengi wa siku hizi baada ya kifo cha akina mwalusanya,lugakingira,sammata n.k.

Wanasahau kuwa jukumu hurekebisha Tabia mbaya kwenye jamii na kuelekeza Tania njema,sasa ukiandika ka rulling cha nusu page utaongeaje na jamii? (Court is a custodial of public morals).

Wanasahau kuwa kuna wanafunzi mbalimbali wanafuatilia hukumu zao wakijifunza principal mbalimbali za kisheria namna ya kupangilia ideas unapoandika hukumu na namna ya kufanya referencing ya decided cases na maandiko ya wataalam.
 
Alikuwa anaandika angalau page 5 za hukumu tofauti na waamuzi wengi wa siku hizi baada ya kifo cha akina mwalusanya,lugakingira,sammata n.k..
Tupia rejea / linki za hukumu angalau moja basi nasi tufaidike mkuu.

Tumuigie na kumuenzi mwendazake marehemu Jaji Regina Rweyemamu (RIP) kwa kwa vitendo.
 
PO ni Preliminary Objection yaani pingamizi kabla kedi ya msingi haijaanza.

Mawakili wengi Tanzania ni vilaza hawawezi kusoma kesi ilivyo na hivyo kazi yao ni kutafuta objection ili kedi ionekane haikufuata utaratibu itupiliwe mbali.

Mtindo huu unaitwa technicallity ambao Jaji Rweyemam hakuuendekeza kama unavyoona hiyo Ruling yake.

PO ni nini?
 
Inawrzekana Rais Magufuli kalazimisha lianzishwe somo la historia ya Tanzania kwa ajili ya watu kama huyu.
Usije ukashanga kwamba inawezekana historia inayosemwa isiwahusu kabisa watu kama marehemu, au unaweza kukuta ni kastari kamoja tu ka kumtaja jina.

Kwa hiyo usiishabikie sana historia inayokusudiwa kwa sasa hivi.
 
Mitandao yote na kila kona watu wanalia au tunalia kifo cha Jaji Regina Reyemamu.

Hutokea kwa nadra sana jaji akifariki halafu umma wote usikitike kw sauti moja kama inavyotokea leo kwa Jaji Rweyemamu.

Hii ni uhibitisho kwama Jaji Rweyemamu alitenda haki. Tena wanaomlilia wengi ni wale wenye nafasi ndogo kwenye jamii.

Huwezi kuzungumza historia ya Mahakama ya Kazi (Labour Court) bila kumtaja Jaji Rweyemamu.

Hukumuza Jaji Rweyemamu zilipendwa na kila Advocate. Wafanyakazi walimpenda Jaji Rweymam alivyoamua kesi zao.

Sina mengi ya kusema kwamba ukiona jaji amefariki na jamii nzima inalia ni wazi alipendwa jinsi alivyotoa haki.

Jaji Rweyemamu alishastaafu lakini kifo chake kimetustua utadhani bado yuko mahakamani.

Wapo watu wakifariki watu wanasherehekea.

Hili ni funzo kwawatumish wa umma. Tunamlilia Jaji Rweyemamu kwa sababu hatuitaji kuambiwa utumishi uliotukuka.

Zipo hukumu alikosea lakini ukizisoma zilikuwa ni hukumu nzito kisheria na zilichambuliwa kisomi na wasomi.

Kuna hukumu moja Jaji Rweyemamu alikubali kubadili maamuzi yake ya nyuma kitu ambacho hutokea kwa nadra sana kwa majai wetu.

Jaji Rweyemam alikubali kukosolewa. Alijali sana interest of justice yaani hakupenda mawakili wanaoendekeza PO.

Hakuna harufu ya rushwa hata ya kuhisi kwa Jaji Rweyemamu.

Pumzika kwa amani Jaji Rweyemamu, unaliliwa na wanyonge wa nchi hii kitu ambacho ni nadra sana kwa mtu wa kiwango chako.

Watumishi mlioabaki mahaamani, bungeni, serikalini na kokote jiulize.

Je tutakulilia kama tunavyomlilia Jaji Rweyemamu?

UPDATE:
Hii ni moja ya Rulings zake
tatizo hampendani mkiwa hai, akifa ndio mnaseama mazuri,
mtu akiwa hai utakuta kazi ni kupigana majungu, kuharibiana, kuoneana wivu.

kwanza pendaneni, acheni fitina, pia acheni kuwa na uchu wa madaraka.
upendo ukitawala ktk kila moyo wa mtu naamini kila mtu ni mwema.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa mvuta sigara mzuri. Kesi inaendeleaa naisimamisha iliakavute sigara

tatizo hampendani mkiwa hai, akifa ndio mnaseama mazuri,
mtu akiwa hai utakuta kazi ni kupigana majungu, kuharibiana, kuoneana wivu.

kwanza pendaneni, acheni fitina, pia acheni kuwa na uchu wa madaraka.
upendo ukitawala ktk kila moyo wa mtu naamini kila mtu ni mwema.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom