Kifo cha hiphop ya bongo

Turnkey

JF-Expert Member
Jul 9, 2013
7,359
5,831
Nimefuatilia muziki wa hiphop toka unaingia bongo(kwa maana ya bongo hiphop)Media zimechangia kuuwa hiphop.wanasema hiphop ni controves kwa maana bila ya beef hakuna hiphop.Tukumbuke TMK vs East coast by that time hakuna mtu alikuwa anasikiliza wabana pua..beef za hiphop hazipewi kipaumbele badala yake unasilkia beef ya Kiba na Mondi ya kugombania wasichana.

Kweli media za bongo wabana pua wana nguvu kuliko mcs.Tunaona kwenye matamasha jinsi hiphop inavyofunika bovu.kama hamuoni umuhimu wa hiphop fanyeni matamasha yenu bila hiphop muone kama kutakuwa na tofauti na Ngwasuma

NB:Mamc najua mnakatazwa na media kuwa na "good beef" kwa maana wanajua mtawafunika wabana pua.ila msiwe macoward kama umemchana mtu kwenye verse usikatae kumtaja.Napenda beef kati ya joe makini vs fid q...godzilla vs billnass.....fa vs jay(ukitilia maanani wana itikadi tofauti)etc unaweza kuendelea kutaja zako.
 
Lakini Madee si alisema hiphop haiuzi. Hapa ni swala la biashara mkuu. Ma-Mcs kibao wamekimbilia kwenye kubana pua baada ya kuona game ngumu.
 
Hip hop is going downhill as it should, coz about 90% of it's supporters worldwide are daft.
 
DID YOU STUDY CASSIDY's face to face and started this topic!!!?

“…The game ain’t the same to me and it’s plain to see/Who you think would win if Diddy battled Jermaine Dupri/Or, Jazze Pha and Mannie Fresh went at it/Ya man will.i.am and Wyclef went at if/Just imagine if the Ghost and the Chef went at it/Or, Redman and your man Meth went at it/(Dramatic)/Man, I’ll pay to see that show/Another good battle would be Rick Ross and Fat Joe/I wanna see Foxy battle Lil’ Kim again/Drake battle Kanye and Wayne battle Eminem/I wanna see Dr. Dre battle Timbaland, The Clipse vs. Chris and Neef, Pharrell vs. Swizz Beatz/I wanna see Beans and Kiss catch wreck again, and see Jay-Z battle Nas and DMX again/Like wrestlin’, rappers talk dumb greasy/I wanna see Gucci go at it with Young Jeezy/Tip and Ludacris should go next/Game should battle Styles P and Common should battle Mos Def/You know what else would be dumb hot?/Juiceman vs. Plies and Young Dro vs. Yung Joc/I wish we could see Trina battle E.V.E./But Mobb Deep vs. M.O.P. what I need to see/Twista and Krayzie Bone battle would be fuckin’ fast/What if Capone and Nore battled Kurupt and Daz/Lil Flip and Slim Thug’d be a nice move/But I’d rather see Ice-T and Ice Cube/Cam and Ma$e would go at it like straight savages/Another good battle would be Juelz and Fabolous/But the next one gotta be the best one/The next one should be Rakim and KRS-One/That’d be wonderful, I wonder who would win that/I know my fans are wonderin’ where the https://jamii.app/JFUserGuide I done been at/Look, I took a rest but came back like I never left/We all gonna perish, you gotta cherish every breath/That’s why I wish Big and 2Pac never left/I’m not kiddin’, man/The game would be a lot different/But I’m in love with hip-hop/I can’t stop spittin’, stop shittin’ on other cats with the raps I got written/Take a stand, man, stop trippin’/If you can’t take the heat, then get yo ass out the hot kitchen…”
 
hali n ngumu, siku izi mapenzi ndo habari ya mjini, pia watu wengi wanapenda dansi hasa shakin
 
Back
Top Bottom