Kifo cha Hayati Dkt. Magufuli kimeipasua CCM. Je, huu ndio wakati wa wapinzani kutusua kisiasa?

Tatizo la wapinzani wameendelea kumuongelea mwendazake instead wanatafute namna ya kupambana na Samia itafika Muda 2025 wataendelea kumu attack magufuli ambaye hayupo duniani . Wangeangalia namna ya kudeal na rais aliyepo madarakani . Angekuepo mtikila kwa ishu za muungano ndio angetusua sahizi Kwa kuangalia madhaifu ya muungano ambapo Marais wote ni wazanzibar . Mtu wa bara Hana haki na Znz. Hivi ndio vitu vingemmaliza mama 2025
Samia hata agombee na mbatia hawezi shinda sembuse asimame na Lisu.Upinzani hawana haja ya dili na mtu aliyechaguliwa na katiba.
Ccm wakimsimama mama wajiandae kifo cha mende.Hadi sasa ccm hawana mtu anaeuzika kwa watz,wa kuweza kupambana na upinzani.
Ukizingatia 98% ya wabunge wa Magufuli Hakuna hata mmoja atakerudi bungeni wakiwemo speaker.
Ishu ya ukosefu wa ajira, suala la machinga,bei ya vitu kuwa juu hasa vya ujenzi,hali ngumu ya maisha hapa ccm lazima itachezea kipigo kitakatifu.
 
Alitabiri Remy Ongala kuwa Ccm ilishakufa sasa yametimia.

Kuna wanaCcm waliokuwa upande wa hayati JPM wanaona sasa nchi imekamatwa mikononi mwa mafisadi na wezi.

Kuna wanaCcm kumbe walifurahia kifo cha hayati JPM na hii inaonekana alikuwa kikwazo kwao.

Ccm ya sasa imepasuka maana kuna mpasuko mkubwa sana.

Je, sasa ndio wakati muafaka wa sisi wapinzani kuaminiwa na wananchi na kupaa kisiasa?
Wapinzani hawa hawa ambao hata kujenga chama kinawashinda kazi kuleta maandamano ya mtandaoni tu maneno mengi mtandaoni kwenda front wanashindwa ninamuona mpinzani wa kweli labda heche tu hao wengine wote hakuna kitu
 
Back
Top Bottom