Chief Mtangi
Member
- May 11, 2020
- 74
- 119
Tokea tukio la kikatili na kibaguzi lililopelekea kifo cha George Floyd, mashirika ya haki za binadamu yapo kimya sana tofauti na ilivyo upande wa mataifa ya kiafrika.
Tumezoea kuona mashirika haya yakikemea vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi za ki-Africa lakini leo hii yamekuwa kimya sana hata ile nguvu wanayoitumia kupiga kelele mara kwa mara imekuwa tofauti.
Je, yanaiogopa marekani na kuhofia kutopata misaada ama kuna sababu nyingine?
Tumezoea kuona mashirika haya yakikemea vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi za ki-Africa lakini leo hii yamekuwa kimya sana hata ile nguvu wanayoitumia kupiga kelele mara kwa mara imekuwa tofauti.
Je, yanaiogopa marekani na kuhofia kutopata misaada ama kuna sababu nyingine?