Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
- Thread starter
- #81
Sina muda mrefu humu Jf ila najua wewe una chuki na hayati JPM. Full stop.Kwani ccm iliungana lini ukiacha kipindi cha chama kimoja? Au unataka kumtakatisha dhalimu nini? Kinachofanya hicho kivuli kiitwacho ccm kubaki masikioni mwa watu ni vyombo vya dola. Kipindi cha dhalimu ndio kulitokea siasa na chaguzi za kishenzi ile mbaya. Kama alikuwa anatetea wanyonge, kipi kilimfanya anajisi chaguzi za nchi hii?