Kifo cha Dk. Reginald Mengi: Kuna nini nyuma ya pazia?

Wewe umethibitisha wapi kama sio yeye jackie ni muhusika ? Kwa nini mnapinga uchunguzi husifanyike , tunahitaji majibu ya kilichomuua Mzee that’s it , he was a public figure regardless Jackie ameusika au hajausika
Indeed Indeed!
 
jacky ebu wabuluze mahakan hao 'wanandugu' udai chako, yaani mali zoote za mumeo na wala si nusu wala robo mali....eheee huo ndo ukweli wenyewe.... jacky ndiyo alikuwa mke halali wa marehem, yaani beba na chukua kila kitu cha marehem ili liwe fundisho kwa madingi wanao waacha wake zao 'waliochuma' kwa shida kisha wanakimbilia vibintiii vibichi..............ukweli un
Unadhani ni kirahisi namna hiyoo eeh. Eti Mke halali. Jamani Mke anashinda watoto?!??!?! Na ninyi ndio mliomponza rafiki yenu akawaamini kumbe haiendi hivyo. Na mali atazifaidi watoto wakifikisha miaka 18. Upo hapo?!?! Wakati huo yeye akiwa na miaka 58 sijui atakuwa na hamu tena ya shoppinmg za Dubai?!
 
Mkuu pesa pesa pesa pesa ni kila kitu..hata IVF ina range zake...Narudia pesa inaweza leta muujiza..technolojia hiyo ipo na inawezekana ni mfuko wako tu...
Andika maelezo ya kisayansi hapa niwapelekee wataalamu wangu wafanye critique
 
Mkuu kwani deni lisilokuwa na bima nalo pia hufa ama kufutika kutokana na kifo cha mdaiwa?
Kama sivyo, ni nani sasa anayestahili kulipa hilo deni la marehemu?
Deni la namna hiyo ni hasara ya mkopeshaji. Biashara ni pamoja na risks kama hizo.
 
IVF ni lazima upate zaidi ya mtoto mmoja maana ni mbegu nyini zinaingizwa kwa hiyi by chance zitazokuwa hai ndio hizo zinazotoa watoto unaweza kupata hata wanne
Hiyo ndiyo chance ninayozungumzia, na kwamba wanaweza kuwa jinsia yoyote. Sasa mwenzetu anatuingiza chaka kwamba walipanga kuwa wapate mapacha wawili wa kiume!
 
Who knows? Naongea kutokana na experience, may be mengi Kafa kifo cha kawaida.

Ilaaaaa kwenye sheria kuna kitu kinaitwa causation!!!!!

Kwa kifo kama cha Mzee usione watu wana question mkasema ni wivu, kwani ni mtu gani tofauti na mwanafamiliya ya mengi anataka Mali za mengi.???

Msituchoshe as if tuna akili mgando lazima tuangalie mazingira ambayo Mzee Kafa

Walienda Zanzibar, Mara jack akasema watoto hawajaenjoy, waende Dubai (tetesi)

Kwenye msiba wa kibonde Mzee mengi alikuwa anashikiliwa, je yeye jack alipata wapi ujasili wa kumzuluza Mzee wakati anaumwa.

Usolijua ni usiku wa Giza, iko wazi kwamba Jacky asingeweza safiri mwenyewe kunfata mchepuko wake akamuacha Mzee ndani,

Alitumia akili tu waennde wote, akipata upenyo ndio hivyo tena.

Jack amekuwa faraja ya Mzee muda wote waloishi wote hiyo sio siri ila tukubali, kwamba Mzee hakuwa na uwezo wa kumtimizia haja zake za unyumba.(tetesi)

So ni rahisi sana kuwa na mpango kando.
Mzee kama yule hata stress ya kitu kidogo yaweza muondoa duniani.

Mzee Kafa kifo cha kawaida lakini ambacho kimesababishwa na stress sa mambo mengi.

Note. Wanawake tupunguze tamaa, unapendwa umepewa kila kitu lakini haturiziki, binafisi mwanaume akinitimizia mahitaji muhimu, lazima nimvumilie kwa hali yeyote.
Mungu akubariki katika njia zako
 
Naye aliwaonyesha wao si chocote. Ulishuhudia kuomba msamaha pale?


Hata ningekuwa mimi ile ni aibu yake ya milele. na sio kwa Tanzania tuu ni kwa wengi waliomuona hakika ni aibu haswa Zero brain ni ngumu kuelewa kitu
 
mmmm,ila ukizisoma hizo dondoo hapo juu bado zinaacha holes nyingi,will ya marehemu hatuijui na kuibadilisha its a running battles mahakamani na vile vile marehemu imefia kwenye nchi inayojielewa kwa hiyi post-mortem ni lazima afanyiwe ili kujua chanzo cha kifo(sio hiyari kama maelezo hapo juu yanavyotaka tuamini means mjane hakuwa na nguvu za kisheria kuzuia post-mortem)maana ule mwili lazima uandamane na death certificate ambayo chanzo cha kifo ni moja ya information muhimu,urithi wa nyumba na kama hizo nyumba zilikuwa na bonds za mabenki hili linahitaji uthibitisho halafu ni makubaliano kati ya mkopaji na bank iliyokopesha(hii kitu sio for public ingawa marehemu alikuwa ni public figure)nadhani tuipe muda familia to grieve tusiongee mengi na tuelewe kama marehemu hakufa natural death hii kesi sio ya Tanzania itafunguliwa kwenye nchi kulikofanyika crime sio hapa ,na uchunguzi utafanywa na nchi husika na kama watahitaji msaada kutoka Tanzania sasa hapo itategemea uhusiano wetu na nchi alikofia marehemu,na mwisho tuelewe kama kulikuwa na foul suspect kuhusu kile kifo,mjane wake kama ni prime suspect asingeruhusiwa kuondoka na kurudi Tanzania .binafsi hii habari so far hai click na why TISS wampe ulinzi?wakati kisheria ni polisi wanaotakiwa kutoa ulinzi sio TISS.
Kwanini TISS watoe ulinzi?? Unafikiri Tanzania Intelligence and Security services hapo kwenye neno Security unaelewa maana yake? Kuna issues TISS wakiingilia si JWTZ wala Polisi watasogea!
 
Kwanini TISS watoe ulinzi?? Unafikiri Tanzania Intelligence and Security services hapo kwenye neno Security unaelewa maana yake? Kuna issues TISS wakiingilia si JWTZ wala Polisi watasogea!
was not worthy it kukujibu,maana inaonekana bado upo form two,ila ninakujibu kwa kicheko tu,kwa generations yako endelea kula AC hapo kwenye Ivory towel yako,ILA ONE DAY IT WILL CHANGE,inaonekana hata tiss huijui bali ni jina tu,ndio yale yale ya miaka ile kuwa eti tiss yetu its one of best duniani lakini imekuja kuonekana na upuuzi mtupu,nchi imegeuzwa shamba la bibi!!,sitakuja tena kukujibu bado sana kwa level yako kujibishana ,jitahidi uwe unasoma btn the lines!!!
 
Habari wana JF

Usiku huu katika pita pita kwenye twitter nakutana na baadhi ya tweet za Daudi T. Balali.

Kipindi kile cha kifo cha Dokta Mengi nilipata wasaa wa kukutana na mdada mmoja mnyarwanda. Katika kuongea naye aliniambia kwa kinyarwanda maana ya 'Ntuyabaliwe' ni 'hujaambiwa wewe'. Nilipomdodosa akaniambia kwa Rwanda wanapozaliwa watoto hupewa majina kutokana na siku na hali utakapozaliwa.
Mfano ukizaliwa wakati wa shida na kama wewe ni mhutu utapata majina ya kinyonge, matumaini, majina ya kukata tamaa n.k huo hakuna ukoo ukizaliwa unapata jina lako mpaka ufe mtoto wako anapata jina lingine

Kwa watutsi ukizaliwa unapata majina ya kifahari, majina ya kiheshima, majina ya makwezi. Hivyo wanajuana wanyarwanda kwa majina yao huyu ni mhutu au ni mtutsi.

Sasa nilipewa historia kidogo ya haya makabila mawili ya maziwa makuu ila yenye majinamizi makubwa. Mfano mtutsi yoyote hawaoagi mhutu vile vile na wahutu. Kama ikitokea mtutsi kaoa mhutu basi watoto watazaa kwa mtutsi.

Sasa najaribu kuunganisha doti kwa tweet hizo hapo je kuna jambo ambalo hatulijui linaendelea chini chini kwa familia ya Mengi..

AsanteView attachment 1096851View attachment 1096852View attachment 1096853View attachment 1096854View attachment 1096855
Hivi unaifahamu lugha ya Kiha?
Kwanini majina hayo uyahusishe na Wanyarwanda na si Waha, Warundi au Waangaza!!!??? Mbona unatumia nguvu kubwa sana kuonesha chuki zako kwa dada wa watu!?
Ntuyabhaliwe ni Kiha kama ndalichako, Ntibhigenda, Ntahondi, Ntiyampahe, Ntawundi nk.
 
Hivi unaifahamu lugha ya Kiha?
Kwanini majina hayo uyahusishe na Wanyarwanda na si Waha, Warundi au Waangaza!!!??? Mbona unatumia nguvu kubwa sana kuonesha chuki zako kwa dada wa watu!?
Ntuyabhaliwe ni Kiha kama ndalichako, Ntibhigenda, Ntahondi, Ntiyampahe, Ntawundi nk.
Waafrika /watanzania wanabaguana zaidi wenyewe kwa wenyewe kuliko hata wanavyobaguliwa na watu wa nje ya Afrika.
 
"Waswahili" wengi tunayajua hayo, soma post namba 16, labda wanaojifanya Waswahili lakini si Waswahili maana wengi utakuta lugha mama zao si Kiswahili halafu anajiona Mswahili, Kiswahili utakuta kaanza kukisikia anapoanza shule. Waswahili 100% ni Waislam na hayo yapo ndani ya Qur'an.

Ukoo wa Mengi na hata huyo mkewe mdogo si Waswahili. Kumbuka hilo.
Kila uonekanapo we mwanamke lazima udini ukutakabari bila sonyi, wapi na wapi waislamu kuwa ndiyo waswahili binti yangu?

Mbona unataka kuvuna kundi lisilo na ujuvi wa mambo?.

Angalau ungesema wakoloni/waarabu waliokurithisha dini ya kiarabu ndiyo wenye kiswahili hapo ungeonekana umeongea mujarabu wakinifu.
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom