Kifo cha Dk. Reginald Mengi: Kuna nini nyuma ya pazia?

Jurrasic Park

JF-Expert Member
Sep 13, 2013
3,789
6,764
Habari wana JF

Usiku huu katika pita pita kwenye twitter nakutana na baadhi ya tweet za Daudi T. Balali.

Kipindi kile cha kifo cha Dokta Mengi nilipata wasaa wa kukutana na mdada mmoja mnyarwanda. Katika kuongea naye aliniambia kwa kinyarwanda maana ya 'Ntuyabaliwe' ni 'hujaambiwa wewe'. Nilipomdodosa akaniambia kwa Rwanda wanapozaliwa watoto hupewa majina kutokana na siku na hali utakapozaliwa.
Mfano ukizaliwa wakati wa shida na kama wewe ni mhutu utapata majina ya kinyonge, matumaini, majina ya kukata tamaa n.k huo hakuna ukoo ukizaliwa unapata jina lako mpaka ufe mtoto wako anapata jina lingine

Kwa watutsi ukizaliwa unapata majina ya kifahari, majina ya kiheshima, majina ya makwezi. Hivyo wanajuana wanyarwanda kwa majina yao huyu ni mhutu au ni mtutsi.

Sasa nilipewa historia kidogo ya haya makabila mawili ya maziwa makuu ila yenye majinamizi makubwa. Mfano mtutsi yoyote hawaoagi mhutu vile vile na wahutu. Kama ikitokea mtutsi kaoa mhutu basi watoto watazaa kwa mtutsi.

Sasa najaribu kuunganisha doti kwa tweet hizo hapo je kuna jambo ambalo hatulijui linaendelea chini chini kwa familia ya Mengi..

AsanteView attachment 1096851
Screenshot_20190514-002138.jpeg
Screenshot_20190514-002146.jpeg
Screenshot_20190514-002153.jpeg
Screenshot_20190514-002201.jpeg
 
Dingilai alifeli sana kuoa uyo mtt

Kifo cha mengi kwa wanaume kinatupa somo kubwa sana hapakuwa na sababu za msingi mzee na pesa zake kwenda kufunga ndoa na kale kabint mzee na pesa zake kachapiwa mke...

By ze way Mwenye picha za Jacky akiwa mjamzito hebu hawekee hapa atutoe tongo tongo...
 
Dingilai alifeli sana kuoa uyo mtt

Kifo cha mengi kwa wanaume kinatupa somo kubwa sana hapakuwa na sababu za msingi mzee na pesa zake kwenda kufunga ndoa na kale kabint mzee na pesa zake kachapiwa mke...

Zile pacha mbili inasemekane sio wake....

By ze way Mwenye picha za Jacky akiwa mjamzito hebu hawekee hapa atutoe tongo tongo...

Mmh jamani mapacha wamefanana na regina kama mama yao wamefanana na mengi sana sio kweli hapo
 
Habari wana JF

Usiku huu katika pita pita kwenye twitter nakutana na baadhi ya tweet za Daudi T. Balali.

Kipindi kile cha kifo cha Dokta Mengi nilipata wasaa wa kukutana na mdada mmoja mnyarwanda. Katika kuongea naye aliniambia kwa kinyarwanda maana ya 'Ntuyabaliwe' ni 'hujaambiwa wewe'. Nilipomdodosa akaniambia kwa Rwanda wanapozaliwa watoto hupewa majina kutokana na siku na hali utakapozaliwa.
Mfano ukizaliwa wakati wa shida na kama wewe ni mhutu utapata majina ya kinyonge, matumaini, majina ya kukata tamaa n.k huo hakuna ukoo ukizaliwa unapata jina lako mpaka ufe mtoto wako anapata jina lingine

Kwa watutsi ukizaliwa unapata majina ya kifahari, majina ya kiheshima, majina ya makwezi. Hivyo wanajuana wanyarwanda kwa majina yao huyu ni mhutu au ni mtutsi.

Sasa nilipewa historia kidogo ya haya makabila mawili ya maziwa makuu ila yenye majinamizi makubwa. Mfano mtutsi yoyote hawaoagi mhutu vile vile na wahutu. Kama ikitokea mtutsi kaoa mhutu basi watoto watazaa kwa mtutsi.

Sasa najaribu kuunganisha doti kwa tweet hizo hapo je kuna jambo ambalo hatulijui linaendelea chini chini kwa familia ya Mengi..

AsanteView attachment 1096851View attachment 1096852View attachment 1096853View attachment 1096854View attachment 1096855
Yawezekana kabisa, ila hatuwezi kupoteza jiwe letu la madini bila kuuliza maswali ya kina na kuchunguza, tamaa za mali zinaweza kuhusika katika hili janga la taifa..Na kama itakuwa hivyo, ni lazima hako katoto kaujuwe mpili pili na maua yake..:mad:🤬
 
Dingilai alifeli sana kuoa uyo mtt

Kifo cha mengi kwa wanaume kinatupa somo kubwa sana hapakuwa na sababu za msingi mzee na pesa zake kwenda kufunga ndoa na kale kabint mzee na pesa zake kachapiwa mke...

Zile pacha mbili inasemekane sio wake....

By ze way Mwenye picha za Jacky akiwa mjamzito hebu hawekee hapa atutoe tongo tongo...
Ujanja mwingi mbele giza, na mkataa pema pabaya panamwita. Kila mtu atavuna matokeo ya matendo yake!
 
Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.

Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.

Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.

Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
 
Ukiona mali inaleta utata wa mirathi ujuwe si ya halali au warithi si wa halali.

Uislam raha sana, kwanza maiti azikwe kwa mali yake, pili ilipe madeni yake yote, itayobaki kama ni madeni au mali basi warithi watagawana kama ilivyoandikwa kwenye Qur'an, hesabu zake zipo wazi kabisa ndani ya Qur'an.

Urithi ni hata madeni, si mali tu. "Tajiri" Kama Mengi utakuta alikuwa anacheza na mikopo tu, sasa wacha warithi wagombanie madeni.

Tutaona muda si mrefu kila mmoja akijitoa kwenye mirathi.
Neno..
 
Maana ya mirathi Ni kurithi Mali na Madeni ya Marehemu.Wengi hudhani unarithi Mali tu Sio kweli .Unarithi vyote Mali zake na Madeni yake.Wewe mrithi ndio unakuwa mumiliki mpya halali anayetambuliwa kisheria wa Mali na Madeni ya Marehemu na unatakiwa uwe unafanya marejesho ya malipo ya hayo madeni.Kama marehemu alikuwa na Madeni mrithi ndio anatakiwa ayalipe akishindwa hatua husika za kudaiwa Madeni huchukuliwa ikiwemo kufilisiwa aliyerithi nk.Waswahili wengi hudhani mirathi Unarithi Mali tu!!!!!!!
 
Maana ya mirathi Ni kurithi Mali na Madeni ya Marehemu.Wengi hudhani unarithi Mali tu Sio kweli .Unarithi vyote Mali zake na Madeni yake.Wewe mrithi ndio unakuwa mumiliki mpya halali anayetambuliwa kisheria wa Mali na Madeni ya Marehemu na unatakiwa uwe unafanya marejesho ya malipo ya hayo madeni.Kama marehemu alikuwa na Madeni mrithi ndio anatakiwa ayalipe akishindwa hatua husika za kudaiwa Madeni huchukuliwa ikiwemo kufilisiwa aliyerithi nk.Waswahili wengi hudhani mirathi Unarithi Mali tu!!!!!!!
"Waswahili" wengi tunayajua hayo, soma post namba 16, labda wanaojifanya Waswahili lakini si Waswahili maana wengi utakuta lugha mama zao si Kiswahili halafu anajiona Mswahili, Kiswahili utakuta kaanza kukisikia anapoanza shule. Waswahili 100% ni Waislam na hayo yapo ndani ya Qur'an.

Ukoo wa Mengi na hata huyo mkewe mdogo si Waswahili. Kumbuka hilo.
 
Back
Top Bottom