Aristolicius
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 110
- 38
Huko watu wako very serious na wazazi wazembe katika malezi huku kuna wazazi wanafanya unspeakable things and no one question them,kuna wazazi wanawaoa watoto wao,wazazi wanawafanyisha kazi watoto katika mazingira hatarishi mzazi anaweza kumfanya mtoto wake kuwa hata bar tender akiwa yupo shule bado,na kuna single parent wengine hasa wamama wakiwa na binti zao wanastop kuwahudumia eti kisa kila binti aliyevunja ungo she is grown up enough kujihudumia,how?OMG inatia hasira
wangekuwa wanashitakiwa kwa negligence nadhani tungefika mbali
wangekuwa wanashitakiwa kwa negligence nadhani tungefika mbali