Kifimbo cha Ndg. Edward Lowassa

Igwachnya

Member
Jan 5, 2011
80
20
P1000581.JPG
 
Hata mimi ninavyofahamu EL ni waziri mkuu mstaafu, hata kama ni interim, bado anatambulika.Baada ya kifo cha Edward Sokoine, nafasi yake ilikaimiwa na aliyekuwa katibu wa AU, Salim A Salim. Naye pia ni waziri mkuu mstaafu.

Ninavyofahamu mimi ni kuwa Lowassa hakustaafu, bali alijiuzulu
 
Nae siku hizi ana pete ya kijini dha!!. But Tafasiriya neno kustaafu ni kuacha kazi kwa sababu ya umri au ugonjwa lakini hili la huyu jamaa sio kustaafu bali mjiuzuru kwa kashfa ya kuwabambikia watanganyika bei ya umeme.
 
Hatuna cheo cha 'waziri mkuu aliyejiuzuru'.
Ataendelea kuitwa waziri mkuu mstaafu. Sidhani kama hili jina litakufanya usahau yale aliyotuhumiwa kuyatenda!
 
Sasa wewe unashangaa nini! Mh. Lowassa ni waziri mkuu mstaafu kama ilivyo kwa Sumaye, Msuya, Warioba, etc. Chuki binafsi hazina maana kwa taifa.

Huyu sio mstaafu kama hao wenginge bali ni "mjiuzulu" Tatizo ni je ikitokea akarudishwa kuwa Waziri Mkuu hiki kibao kitatolewa?
 
Sasa wewe unashangaa nini! Mh. Lowassa ni waziri mkuu mstaafu kama ilivyo kwa Sumaye, Msuya, Warioba, etc. Chuki binafsi hazina maana kwa taifa.
ndio maana naomba kiswahili kipigwe marufuku maana sisi hatukielewi na hakuna wa kutusaidia kukielewa.
Ingelikuwa Kiingereza labda wenyewe wangetukosoa.
Mfano: Ungesema
resigned = aliyejiuzuru
retired = aliyestaafu

hiyo ingetuondolea utata wa kuitana wenye chuki binafsi.
By the way, hii inaonyesha kuwa hii nchi inajiendea na ndio maana hata watu wengine wakitaka kuoneka wasomi wanaongeza hizi herufi "Dr" mbele ya majina yao
Hatuna cheo cha 'waziri mkuu aliyejiuzuru'.
Ataendelea kuitwa waziri mkuu mstaafu. Sidhani kama hili jina litakufanya usahau yale aliyotuhumiwa kuyatenda!
hakikuwepo hapo kabla kwa sababu haikuwahi kutokea lakini huyo unayemsema ndiye mwanzilishi wa cheo hicho. Najaribu kufikiri kuwa jamii za mwanzoni kabisa kabla hazijapotelewa na mtu yeyote kama kulikuwa na tittle ya "marehemu"
 

Ingelikuwa Kiingereza labda wenyewe wangetukosoa.
Mfano: Ungesema
resigned = aliyejiuzuru
retired = aliyestaafu

Sasa hapo mbona kila neno lina kiswahili chake? Sioni tatizo la kiswahili.
Basi tufanye kila mtu amwite jina analolipenda. Mimi nasubiri ukweli kamili wa sakata la richmond
 
Sasa wewe unashangaa nini! Mh. Lowassa ni waziri mkuu mstaafu kama ilivyo kwa Sumaye, Msuya, Warioba, etc. Chuki binafsi hazina maana kwa taifa.

Acha uzandiki wewe, ni lini Lowassa alistaafu uwaziri mkuu? Unajua maana ya kustaafu wewe?

Tiba
 
Hata mimi ninavyofahamu EL ni waziri mkuu mstaafu, hata kama ni interim, bado anatambulika.Baada ya kifo cha Edward Sokoine, nafasi yake ilikaimiwa na aliyekuwa katibu wa AU, Salim A Salim. Naye pia ni waziri mkuu mstaafu.


Unajitahidi kutetea uozo, pole you.
 
Wabongo sijui tuna laana gani. Simple logic inakuambia Lowasa si mstaafu but bado unatetea. Nani alituroga?
 
Back
Top Bottom