Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Naombeni kufahamishwa kuhusiana na kifimbo kile cha mwalimu Nyerere.
Alikipata wapi, na je habari zilizoenea huku mtaani kuwa eti aliwahi kukisahau hotelini wakati akiwa ziarani ulaya, lakini wahudumu wa hoteli walishindwa kukitoa juu ya meza ni za kweli?
Kipo wapi kwa sasa? Makumbusho au alizikwa nacho?
Alikipata wapi, na je habari zilizoenea huku mtaani kuwa eti aliwahi kukisahau hotelini wakati akiwa ziarani ulaya, lakini wahudumu wa hoteli walishindwa kukitoa juu ya meza ni za kweli?
Kipo wapi kwa sasa? Makumbusho au alizikwa nacho?