Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,474
- 10,417
wewe upo kwenye nini sasa...unashaurije
wewe upo kwenye nini sasa...unashaurije
Hakuna namna...ngoja nije na kwakoDuu nyuzi zinafukuliwa
Habari zenu!
Nina maswali kidogo..kuhusu ndoa Na mahusiano kwa ujumla.Unakuwa watu wamependana wenyewe wakafunga mpaka ndoa, ama wapo kwenye uhusiano..
Baada ya Muda Ni ugomvi, kusalitiana, huyu ana mteta huyu, siri zinaanza kutolewa, jamani ndugu zangu.Ni nini hasa kinachosababisha ?? Sio wote lakini nashawishika kusema ni Tatizo la Dunia.Mfano.Mfano.Unaweza sema sababu ya pesa( kuna wanaopewa kila kitu but ndoa/ uhusiano unavunjika!
Kuna wanaobembelezwaa na kuenziwaa uhusiano unavunjika( nikawaza au ni maumbile?? Labda unapendana na mtu kwa nje( siku mnalala wote unakuta bwawa au kibamia?? Au siooo? Au Sio bwawa Sio kibamia but wana achana Na wengine kufikishana Mpaka police kwa wajumbe.
Je Hakuna mjadala wowote Ili kujifunza Walau kuponya kizazi Na vizazi vijavyo? Kumbukeni Mapenzi yana nguvu yakitumika vibaya ndo chanzo cha watoto wengi wa mitaani.Je Tufanye nini??
Hamna zangu jana kuna mtu anaitwa Kichwa Kichafu alizifukua zote kwa hasira hahahHakuna namna...ngoja nije na kwako
Hii ndio point ya MsingiNdoa ili idumu ndoa ya watu wawili ni lazima mmoja ajifanye mjinga (dumbass)....
tehehe et kwa hasiraHamna zangu jana kuna mtu anaitwa Kichwa Kichafu alizifukua zote kwa hasira hahah
You said it all mkuu..!! TrueNdoa za sikuhizi aziwezi dumu kwa sababu wanawake wanaleta mashindano ndani ya nyumba. Uvumilivu sifuri!!! Heshima kwa mume bashite kabisa!!!
Mpaka pale sheria ya ndoa itakapotambua kuwa mwanamke ni mtu na siyo kitu. Hivyo basi akitoka nje ya ndoa au akikamatwa na mme wa mtu abebe gharama zote yeye na mgoni wake kama amefumaniwa basi asmdai mmewe mali amdai fidia mwanaume aliyefumaniwa naye kama amefumwa na mme wa mtu basi ndoa ikivunjika mwanamke amlipe fidia mwanaume aliyekamatwa naye. Hii ni kwa ugoni tuu. Kwa mambo mengine wagawane mali na mwenza wake hii itapunguza kasi ya kuvunjika ndoa.Habari zenu!
Nina maswali kidogo..kuhusu ndoa Na mahusiano kwa ujumla.Unakuwa watu wamependana wenyewe wakafunga mpaka ndoa, ama wapo kwenye uhusiano..
Baada ya Muda Ni ugomvi, kusalitiana, huyu ana mteta huyu, siri zinaanza kutolewa, jamani ndugu zangu.Ni nini hasa kinachosababisha ?? Sio wote lakini nashawishika kusema ni Tatizo la Dunia.Mfano.Mfano.Unaweza sema sababu ya pesa( kuna wanaopewa kila kitu but ndoa/ uhusiano unavunjika!
Kuna wanaobembelezwaa na kuenziwaa uhusiano unavunjika( nikawaza au ni maumbile?? Labda unapendana na mtu kwa nje( siku mnalala wote unakuta bwawa au kibamia?? Au siooo? Au Sio bwawa Sio kibamia but wana achana Na wengine kufikishana Mpaka police kwa wajumbe.
Je Hakuna mjadala wowote Ili kujifunza Walau kuponya kizazi Na vizazi vijavyo? Kumbukeni Mapenzi yana nguvu yakitumika vibaya ndo chanzo cha watoto wengi wa mitaani.Je Tufanye nini??
Wanawake wakiacha tamaa tu.... Hamna kingine