Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,123
wapo wengi tu!.. kuna benki wahuni walichota mwaka flani!. sema utaratibu mzuri wa habari kibongo hatuna!..Hivi hakuna hackers wa kibongo wanaovamia serikali au mifumo ya benki?
wapo wengi tu!.. kuna benki wahuni walichota mwaka flani!. sema utaratibu mzuri wa habari kibongo hatuna!..Hivi hakuna hackers wa kibongo wanaovamia serikali au mifumo ya benki?
Tunapenda kuonekana Taasisi zetu ni flawless!..Au wanaogopa kuyatangaza watawatia moyo wengine waanze kufanya
Poa Content manager wa Uzi pendwa
Hardcore writing from softcore writer..Ha ha ha ha Mnyama akili nyingi kumbe unapitaga mitaa ile,
Nikajua ni sisi tu vichwa maji,
umetuinua kiasi fukani,
Sema nakuelewa huwa una unyama fulani hivi kwenye maandishi yako,
kimtindo una-reflect unyama ya huyo jamaa wa username yako mzee
Ngumu sana mkuu wanguNaomba connection basi
Hardcore writing from softcore writer..
Huko hakuna mbabe watu wanapita kimya kimya wakikumbuka walivyo fanya nawao
Cc.
Astelia bbade snowhite Blaki Womani Kudo Ambiele Kiviele Wick lifecoded undertwentyboy Use brain Heriel Iyegu nana jolie Shunie Mshana Jr zitto junior Malcom Lumumba The MaskmaN theriogenology financial services
@Nanaa jolie Iyegu hearly impongo Mchawi Mkuu Malcom Lumumba Elungata Da'Vinci Mshana Jr Palantir Eiyer Kudo900 Vi rendra N J subi Bujibuji Kipanga boy Kiranga Ziroseventytwo Che mittoga Ip man 3 mitale na midimu Mzee wa Torano Blaki Womani Grahnman za chembe jimmykb197 911sep11 afsa Francis3 mtu chake NJOLO Msolo Shubiri Pori Pendael24 Mr Miller Elli Khalifavinnie Kennedy Son of Gamba Kanungila Karim Mgambilwa ni mntu Mr FCB Mr Q geesten66 Jerry Ekky Mnabuduhe Chrisvern katib mkoa
Naren Son of Gamba Charaxes GuDume DON Crelicuzio Humble African Bitoz Mzigua90 Raynavero baba swalehe Chiwaso
Blaki Womani