sakatutuka
Member
- Sep 14, 2011
- 17
- 0
Ndugu zangu wana JF. amani daima.
Nimepiga hodi nikiashiria kuwa ndio najitosa mjengoni kwa mara ya kwanza nikiamini kuwa wana JF sote ni ndugu, basi sinashaka mtanipokea. Naomba ushirikiano wenu.
Nimepiga hodi nikiashiria kuwa ndio najitosa mjengoni kwa mara ya kwanza nikiamini kuwa wana JF sote ni ndugu, basi sinashaka mtanipokea. Naomba ushirikiano wenu.