OkNaomba kufahamu mambo ya kuzingatia unapohitaji kununua kizima moto (Fire extinguisher) kwa ajili ya nyumba ya kulala wageni (Guest house).
Mfano:
Kimoja kinatosha kwa nyumba yenye vyumba vingapi?
Kinatakiwa kuwa na uzito au ujazo gani? Nk.
Nakushukuru sana kwa ushauri huu.Kwa kifupi...
Bajaji au pikipiki zinahitaji Fire extinguisher nusu Kg au Kg 1
Saloon cars below 1 tonne zinahitaji at least 1 kg au 2 kg fire stopper
Gari 2tonne Hadi 5 tonne zinahitaji at least 2kg Hadi 6kg fire stopper
Nyumba za kuishi ,magari makubwa,Petro stations,Nyumba za wageni , viwanda nk anzia 6kg
Na kwa hitaji lako weka atleast 6kg Kila baada ya Room 2 ..
Kama unapenda usalama zaidi weka 9 kg
Fire extinguishers Mara nyingi hutumika kuzima mioto inayoanza.Mbona fire wao moto ukitokea hutumia maji kuzima?!
Kwani na wao wasitumie fire extinguisher?!
Au yale maji nionayo wakiyatumia kuzima mioto ni fire extinguisher?!
Au mimi ndio sielewi fire extinguisher ni nini?!
Mbona maoni yako hayana akili? Say something sensible sometimes.Dawa ya moto ni moto, siyo extinguisher
Huelewi kitu wwMbona maoni yako hayana akili? Say something sensible sometimes.
Ni baraka iliyoje kwa wasiokujua?Huelewi kitu ww