Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata ukinunua kumi ni kwa faida yako hivi ukiambiwa weka mapipa ya maji kwa ajili ya dharura ya Moto si utaweka mengi?!Naomba kufahamu mambo ya kuzingatia unapohitaji kununua kizima moto (Fire extinguisher) kwa ajili ya nyumba ya kulala wageni (Guest house).
Mfano:
Kimoja kinatosha kwa nyumba yenye vyumba vingapi?
Kinatakiwa kuwa na uzito au ujazo gani? Nk.
Asante sana.Mkuu hata ukinunua kumi ni kwa faida yako hivi ukiambiwa weka mapipa ya maji kwa ajili ya dharura ya Moto si utaweka mengi?!
Funga Smoke alarms sio ghali ila zinasaidia.
kama kitu hujui ni vyema ukakaa kimyaFire ext ya kufanyia nini nyumba za wageni???....bora ungeuliza uweke kondomu box ngapi kwa kila chumba...