Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Wadau,nahitaji kifaa cha kuchunguza magonjwa yote cha mkononi. Nikiwa kwenye gari nimemuona mama mmoja anaangalia katalogi ya vifaa vya tiba nikakiona nikiwa nachungulia kwa pembeni. Kwa wahusika wa FLP,GNLD,TIANSH na mengine. Na je kama ipo bei yake shilingi ngapi?Naweza kumudu?
Nawashukuru mno.
Nawashukuru mno.