MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 590
Mie husema wabongo hujifanya wajuaji, lakini kiukweli tuko tiro sana. Ugaidi actually ni tactic imetumiwa na wamerekani kutaka kwenda middle-east kuiba mafuta, sasa naona watu na akili zao wakija na story za ugaidi inaumiza kichwa kwa kweli.Taarifa iliyotolewa Mbele ya Mahakama ya Uhujumu uchumi na Waendesha mashitaka wa serikali , kwamba Moja ya kielelezo kwenye kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na Wenzake ni mfuko wa bei chee wa kubebea vifurushi unaofahamika kwa jina zuri la SHANGAZI KAJA , umefanya Waliohudhuria kesi hiyo wakiwemo mabalozi wa nchi mbali mbali kupigwa na butwaa .
Kielelezo hicho Muhimu cha Ugaidi huo ambao unatajwa kuwa na thamani ya shilingi laki 6 za kitanzania kimepewa namba 20 , wengi tunasubiri kuona namna ambavyo shangazi kaja hiyo ilivyotumika kwenye mipango ya Ugaidi .
Nyongeza : Kwa wale ambao hawajui Mfuko wa Shangazi kaja ulivyo naambatanisha picha yake hapa chini
View attachment 1932372