Kielelezo kingine cha udikteta aliouacha Hayati Magufuli ni kuua media kabisa

Kesho ni Katiba day na katiba hakuna mtu yeyote ambaye hana maslahi nayo.

Waandishi wa habari kama Mwangosi na Azory Gwanda waliuawa kwa sababu ya katiba mbovu na mpaka leo hatujawai kuona wanasiasa waliosababisha wakiwajibishwa.

Watu kama wakina Ngurumo wamekimbia nchi mpaka leo kwa sababu ya habari zao za kiuchunguzi kutotakiwa na tawala za ccm.

Awamu ya Magufuli waandishi mpaka walipigwa viboko na kuwekwa ndani

Utawala wa Magufuli vyombo vya habari vilifungwa na kupewa faini kubwa kubwa kwa sababu ya katiba na sheria mbovu.

Lakini leo watu wanaanzisha katiba movement Ila cha kushangaza hakuna hata media moja inayosaport movement hiyo!!.

Cha kushangaza siku Samia akitangaza kukubali katiba media zitaandika kumpongeza bila kuwapongeza walio anzisha movement hii

Bongo hatuna media kabisa.
Huyu mh. Muacheni jamani ameenda tayari...!
 
1098090.jpg
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom