reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,661
- 20,995
hahaaa, sema sisi wabongo njaa zinatufaoya tuhalalishe kula vitu vya ajab, yale madude kwanza yana sura mbaya mpk ngozi, kwanza sijawah yaona hata kwenye mahoteli nakubwa,Hahahahahahhaahhaahhahahaahhaahaaa...ati unadibua uji๐๐๐๐๐..siwapend kambale dah
Anyway, bwana Kiduku Lilo, iwe kweli au si kweli, anatupa kitu wana jf, kwa kudhamilia au laa ila ana nia nzur na wana jf.