Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kuna kipindi hapo nyuma wiki iliyopita nliweka post hapa Kidole changu kimevimba na kinauma ,Nilienda hospitalini waliniambia nitumie dawa za ammoxylin na panadol lakini hazikusaidia, Nikabadilisha hospitali nikaenda nyingine wakaniambia nitoe kucha nikaona ngoja nitumie ushauri niliopewa na wana jf wa kutumia Ndula, Hio ndula niliichuma nikaikata juuu na chini na kuipachika sehemu iliyovimba kama vile pete. Nliivaa kwa siku mbili na kidole kimepona kabisaaaa...
SHUKRANI SANA WANAJAMII FORUMS
SHUKRANI SANA WANAJAMII FORUMS