Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) , KIDAU WILFRED ameitwa Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji kuhojiwa kuhusiana na Uraia wake.
Habari zaidi kuhusu nini kitajiri huko tuendelee kufuatilia mada hii.
Wewe je?Kwani yule jamaa magogoni si Mburundi?
Yes, mwaka 1994 alikuwa form two!Miaka ile alisoma Tabora boys
Wewe je?
Na zamani alikuweo mkenya.Walishafanya TFF Shamba la bibi maana nasikia Rais wa TFF ni msomali
Unasikia kumbe halafu unasimulia? Basi ni mmbea weweWalishafanya TFF Shamba la bibi maana nasikia Rais wa TFF ni msomali
Kucheza timu ya taifa jeKuhojiwa uraia ni suala muhimu sana,kwanza inampa haki mtuhumiwa ajisafishe,pili inaonesha kuwa nchi sio pango la wahamiaji haramu
Heko uhamiaji kusoma Tanzania hakukupi uhalali wa uraia
Sio kigezo mkuuKucheza timu ya taifa je
SIO TABORA BOYS NI MILAMBO NA ALIKAA BWENI LINAITWA NYERERE NA ALISOMA EGM NI MUHA WA KIGOMA SASA ZAIDI YA HAPO SIJUI ILA ALIKUWA MCHEZAJI MPIRA MZURI SANA WA MILAMBO WANAUME WAKATI HUO TABORA WAVULANA TULIKIWA TUNAWAFUNGA SANA PAMOJA NA KUJIFANYA WATOTO WA JESHI ILIKUWA RAHA SANA ENZI HIZOOOOOMiaka ile alisoma Tabora boys
Alikuwa anaitwa KinyanjuiNa zamani alikuweo mkenya.