erastosichila
Member
- Jun 8, 2017
- 70
- 42
Nataka kujua kuwa kidato cha tano wapya tayari? Chaguo la pili Tafadhali naomba kujuzwa
Je ni kweli watachaguliwa au ni uvumi tu??,, naombeni msaada wenu wakuu!.Tayari wameshachaguliwa ila kupangiwa shule bado wanasubiri mpaka September ili waone nafasi zitakazokuwepo kwa wanafunzi watakaoshindwa kuripoti ambao wamechaguliwa toleo la kwanza.so kwa uhakika zaidi subiri mwezi Wa 9 mwanzoni.
Hv ikitokea kuwa wanafunzi wote wa chaquo la kwanza walilipoti wote,...hao wa sec.selection itakuwaje???Tayari wameshachaguliwa ila kupangiwa shule bado wanasubiri mpaka September ili waone nafasi zitakazokuwepo kwa wanafunzi watakaoshindwa kuripoti ambao wamechaguliwa toleo la kwanza.so kwa uhakika zaidi subiri mwezi Wa 9 mwanzoni.
Shukran sana Mkuu maana hapa tumbo Joto tu!Watachaguliwa ndio kwa sababu watakaoripoti kwa wale waliofaulu first selection si wote cause wengine washaanza kusoma private school na wengine wameapply vyuo kwa diploma. So Kama umetajwa second selection jiandae kwa shule mwezi Wa 9 mwanzoni Luqnation Tz
Je kunakuchaguliwa kweli au ni uvumi tu!ukwel kvp mbn hufunguki??
Em naomba mkuu unieleweshe hapo, kupitishwa vip yaani?kuchaguliwa kupo na majina ya watakao chaguliwa yashatoka ila bado hayajapitishwa ila yashatoka
Nimekuelewa Mkuu! Shukran kwa kunifahamisha.km hujaelewa njoo pm
Unajuaje sasa kama umechaguliwaWatachaguliwa ndio kwa sababu watakaoripoti kwa wale waliofaulu first selection si wote cause wengine washaanza kusoma private school na wengine wameapply vyuo kwa diploma. So Kama umetajwa second selection jiandae kwa shule mwezi Wa 9 mwanzoni Luqnation Tz