Derick Balikenga
New Member
- Jan 12, 2019
- 1
- 0
Ndugu zangu napenda kuuliza, hivi kwa wale form six wanaochaguliwa JKT kwa awamu ya pili..wakati muda wakujiunga vyuoni umefika...huwa kuna utaratibu gani wakuendelea na mafunzo hayo baada yakumaliza chuo?