ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
Viva JF
Nikiwa sijui kinachoendelea kwenye kwenye mitihani ya kidato cha nne iliyoanza hii wiki, nikawa nawasiliana na dogo mmoja finalist ananiambia wametangaziwa kuruhusiwa kuingia kwenye chumba cha mtihani na calculator hivyo wamefurahi sana.
Nilijikuta nashangaa na kuchukia ghafla, kwamba watu wazima wanaosimamia Wizara na NECTA wamefikiria nini kuruhusu hili?
Hivi ni kweli nchi nzima Form Four sasa ndio wanaanza kutumia calculator? Ni kama bado siamini.
Hivi ndio ufaulu utaongezeka au ni kuwafanya tu wanafunzi sasa waache kujibidisha?
Hizo calculators watakuwa wanazikagua au ndio bora yoyote, maana kuna scientific one zinatunza mpaka data, nyingine zinaonesha mpaka njia (solution) and many other operations.
Kuna faida gani kuwa na vijana wengi walio na vyeti vizuri mtaani wakati uwezo wao kiakili ku-solve mambo ni mdogo? Maana hizi devices zinadumaza akili hasa kwa vijana wadogo kama Form 4.
Kadri miaka inavyozidi kwenda, mfumo wa elimu nchini unazidi kuwa mbovu na rahisi kwa watoto kufaulu. Walianza na lile la multiple choices kwenye hesabu wakaona haitoshi sasa ni mteremko tu, sielewe lengo ni nini hasa kama sio kuandaa taifa la wavivu kufanya kazi na wavivu kufikiri.
God Bless America
Nikiwa sijui kinachoendelea kwenye kwenye mitihani ya kidato cha nne iliyoanza hii wiki, nikawa nawasiliana na dogo mmoja finalist ananiambia wametangaziwa kuruhusiwa kuingia kwenye chumba cha mtihani na calculator hivyo wamefurahi sana.
Nilijikuta nashangaa na kuchukia ghafla, kwamba watu wazima wanaosimamia Wizara na NECTA wamefikiria nini kuruhusu hili?
Hivi ni kweli nchi nzima Form Four sasa ndio wanaanza kutumia calculator? Ni kama bado siamini.
Hivi ndio ufaulu utaongezeka au ni kuwafanya tu wanafunzi sasa waache kujibidisha?
Hizo calculators watakuwa wanazikagua au ndio bora yoyote, maana kuna scientific one zinatunza mpaka data, nyingine zinaonesha mpaka njia (solution) and many other operations.
Kuna faida gani kuwa na vijana wengi walio na vyeti vizuri mtaani wakati uwezo wao kiakili ku-solve mambo ni mdogo? Maana hizi devices zinadumaza akili hasa kwa vijana wadogo kama Form 4.
Kadri miaka inavyozidi kwenda, mfumo wa elimu nchini unazidi kuwa mbovu na rahisi kwa watoto kufaulu. Walianza na lile la multiple choices kwenye hesabu wakaona haitoshi sasa ni mteremko tu, sielewe lengo ni nini hasa kama sio kuandaa taifa la wavivu kufanya kazi na wavivu kufikiri.
God Bless America