Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,900
Nkanini,
Tunaifanya elimu yetu kuwa ngumu tukiamini ndio uelewa. Unakuta mzungu kasoma course chache za ujenzi ila anaweza simamia ujenzi hata ghorofa likaanguka ,sisi tumekariri injinia lazima akeshe na mavitabu wakati kazi inahitaji expert katika field. Nina mfano kuna jamaa kitambo tulisoma naye tukamaliza form 4 yeye akaenda nje baada ya miaka mitatu na nusu tayari na kazi yake.
Tunaifanya elimu yetu kuwa ngumu tukiamini ndio uelewa. Unakuta mzungu kasoma course chache za ujenzi ila anaweza simamia ujenzi hata ghorofa likaanguka ,sisi tumekariri injinia lazima akeshe na mavitabu wakati kazi inahitaji expert katika field. Nina mfano kuna jamaa kitambo tulisoma naye tukamaliza form 4 yeye akaenda nje baada ya miaka mitatu na nusu tayari na kazi yake.