Safi sana mkuu,tatizo la sisi tunafikiri kwa kutumia tumbo, wenzetu wanafanya mitihani ya paper less, yaani ni kutumia teknolojia na mambo ya codes ambayo ndio future sisi tumesimama kwenye miaka ya 47 lengo la chama tawala ni kuwa na taifa la wajinga ili utawala wao uendelee.Nasisitiza tumechelewa sana ,tena serikali inatakiwa kuongeza wigo na teknolojia zaidia katika elimu. Twende na wakati pamoja na zama zake 2020 haitokuwa sawa na 2000
Kutumia kikokotozi hakufanyi mtu kuwa mjinga
Unasumbuliwa na roho ya kwanini
Watu dizaini yako ni wale wanaoamini maisha ni kuteseka, bila kuteseka wanaona sio maisha.
Calculator inasaidia kupunguza muda wa kufikiria maana yake mwanafunzi ataongeza ufanisi kwenye calculations
Wewe usiyetumia calculator umeisaidia nini nchi labda?Sawa, endeeni kupunguza muda wa kifikiria, sijui mnataka ubongo ufanye kazi gani baada ya kuupunguzia majukumu ya kufikiria.