Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,370
Alphayo Kidata, Rais Samia Suluhu amekurudishia heshima yako iliyoondolewa kwa sababu ambazo hazikuelezwa, tunafahamu kwamba ulitukanwa sana hadi ukavuliwa ubalozi, yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Nakuomba sana mkuu, tafadhali sana Mzee wangu fanya kazi yako kwa haki huku ukizingatia sheria za nchi. Si kila mtu aweza kubahatika kupata second chance.
Kwa leo ni hayo tu, lakini kesho nitakupigia simu kwa ile namba yangu inayoishia 72 ili nikueleze ambayo siwezi kuandika hapa.
Kila la heri .
Nakuomba sana mkuu, tafadhali sana Mzee wangu fanya kazi yako kwa haki huku ukizingatia sheria za nchi. Si kila mtu aweza kubahatika kupata second chance.
Kwa leo ni hayo tu, lakini kesho nitakupigia simu kwa ile namba yangu inayoishia 72 ili nikueleze ambayo siwezi kuandika hapa.
Kila la heri .