Kichwa cha mwendawazimu kwenye ubora wake

Wabongo acheni ujinga wa kulalamika kila Wakt,ivi hata elimu yetu ya darasa la saba haiwakwamui hata kidg maana kila Siku nyie ndio mnapga kelele.timu imeenda kushiliki kwa niaba,,hakukuwa na maadaliz yoyote na ulikuwa ni ghafula sana kwahy wameenda kupata experience kdg ili wajipange kwa baadaye kwahy waliyiwapeleka ni watu wa wazimu ambayo wajua soka kidg na ni wachez wa zaman ili waje huku Tanzania kuwafundisha vijana na hata kuanzisha ligj za soka LA ufukwen,,,SAS wa bongo kwa akil zao ni kipga kelele na kusema Mara ccm,ccm wanaingiliwa WAP hapo kwenye soka....acheni upumbafu tubadilike sana,kuna timu kubwa zinafungwa lkn hawapgi kelele km nyie,Brazil walitolewa kombe LA dunia lkn hawakupga kelele ila wanachukulia ni kawada na kuchukuwa madhaifu yako kuwa km funzo.
Kwa nini kila siku kwenye kila aina ya mashindano hukosa maandalizi ya maana?

Hivi hasara ya kuacha kushiriki kwa sababu hatujajiandaa ni kubwa kuliko kushiriki bila kujiandaa?

Kichwa cha mwendawazimu mzoefu
 
Kwa nini kila siku kwenye kila aina ya mashindano hukosa maandalizi ya maana?

Hivi hasara ya kuacha kushiriki kwa sababu hatujajiandaa ni kubwa kuliko kushiriki bila kujiandaa?

Kichwa cha mwendawazimu mzoefu
Unapotaka kuanzisha kitu chochote lazima kwanza uingie hasara kwanza baadaye ndio kuna faida,walioenda kushiliki wameenda km kujifunza nielewe
 
Unapotaka kuanzisha kitu chochote lazima kwanza uingie hasara kwanza baadaye ndio kuna faida,walioenda kushiliki wameenda km kujifunza nielewe
Kwa nini hawakujifunza kabla ya kwenda kushindana?

Tunalalamika kwa sababu kila kukicha ni kushindwa tu.

Hao wanaotupiga kila kukicha wana nini kutuzidi sisi?

Siku tutakapoamua kuangalia tulipojikwaa na kuanguka, tutasimama na kujikung'uta mavumbi na kufanya vema kwenye michezo.

Hizi sababu za kila siku hazitalindoa taifa letu hapa lilipo kimichezo
 
Kwa nini hawakujifunza kabla ya kwenda kushindana?

Tunalalamika kwa sababu kila kukicha ni kushindwa tu.

Hao wanaotupiga kila kukicha wana nini kutuzidi sisi?

Siku tutakapoamua kuangalia tulipojikwaa na kuanguka, tutasimama na kujikung'uta mavumbi na kufanya vema kwenye michezo.

Hizi sababu za kila siku hazitalindoa taifa letu hapa lilipo kimichezo
IPO Siku moja we still progressive.
 
No ya jangwa lakini ina beach Kama sisi labda ungesema tumefungwa na nchi iliyoghubikwa na unrest ikiwemo tishio la ISIS
 
Back
Top Bottom