Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Japo mie nshaacha kununua magazeti muda mrefu, ila hupenda kusikiliza kwenye radio kimhutasari magazeti yametoka na habari gani za siku husika.
Leo sikuamini kama gazeti linaloheshimika la Mwananchi linaweza kuwa na kichwa cha habari (kipuuzi) kama hiki. "Dk Mpango amshukia Makonda kama mwewe".
Leo sikuamini kama gazeti linaloheshimika la Mwananchi linaweza kuwa na kichwa cha habari (kipuuzi) kama hiki. "Dk Mpango amshukia Makonda kama mwewe".