emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 542
Wandugu wale wa chama langu,huyu Jamaa kama ni mchango alioonyesha ni mkubwa sana kwa Leo,sasa Luna Jamaa walikuwa wanampa hela uwanjani nikafikiria siyo vibaya kwa mechi tumchague mmoja ambaye kaonyesha mchango mkubwa wa ushindi wetu, tunaweza kumchangia h
Japo 500 kila mmoja mdau wa simba,atoe naomba yake ya M-PESA au Tigo pesa,hii ita ecourage vijana,SORRY WALE WA NJANO WA MAUMIVU PITENI TU PEMBENI
Japo 500 kila mmoja mdau wa simba,atoe naomba yake ya M-PESA au Tigo pesa,hii ita ecourage vijana,SORRY WALE WA NJANO WA MAUMIVU PITENI TU PEMBENI