namriny
Senior Member
- Mar 21, 2020
- 172
- 186
Jamani najua humu kuna wataalam et ukipata kichomi upande wa kushoto unatakiwa ufanye nn kiishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa maji mafundo saba tena kwa kuhesabu au chukua kipande cha uzi kipake mate halafu bandika katika paji la uso kama sigda hapo itakuwa shwari
Hii ndio tiba ninayotumia mpaka leo tokea nikiwa mdogo nilifundishwa na bibi
Mdogo wangu wa kiume anasumbuliwa na vitu kama vichomi upande wa kushoto wa tumbo lake na alifika hospital mara tatu kupimwa anaambiwa ni amoeba lakini tatizo linajirudia after some months hasa wakati wa asubuh tatizo litakuwa nn wataalam?
Acid reflux?Mdogo wangu wa kiume anasumbuliwa na vitu kama vichomi upande wa kushoto wa tumbo lake na alifika hospital mara tatu kupimwa anaambiwa ni amoeba lakini tatizo linajirudia after some months hasa wakati wa asubuh tatizo litakuwa nn wataalam?
Pia akacheki Peritonitis ni dalili pia hizo
Je anatoa choo chenye mtelezo ? Na Kuna vitu kama makamasi hv ? Kama ndio ni amoeba fika duka la dawa nunua dawa metronidazoleMdogo wangu wa kiume anasumbuliwa na vitu kama vichomi upande wa kushoto wa tumbo lake na alifika hospital mara tatu kupimwa anaambiwa ni amoeba lakini tatizo linajirudia after some months hasa wakati wa asubuh tatizo litakuwa nn wataalam?
Au tafuta dawa inaitwa Nat-B elfu 35 pakiti nzima unameza kidonge kimoja kila siku baada ya kulaMdogo wangu wa kiume anasumbuliwa na vitu kama vichomi upande wa kushoto wa tumbo lake na alifika hospital mara tatu kupimwa anaambiwa ni amoeba lakini tatizo linajirudia after some months hasa wakati wa asubuh tatizo litakuwa nn wataalam?
Habarini Wana jf
Naomba msaada kuhusu management ya kichomi,
Na pia jina lake halisi kitaalamu
Ahsanten! Karibuni
AhsantePole kwa kuumwa,
Kwa mawazo yangu ni vyema ungesema mambo yafuatayo, yatasaidia waungwana kuelewa tatizo la msingi:
1: Una maumivu sehemu gani ya mwili?
2: Yana muda gani tangu uanze kuumwa?
3: Unapokuwa na maumivu huweza kukaa/kuwepo/kudumu kwa muda gani?
4: Kitu gani huweza kuanzisha/kuleta maumivu husika?
5: Kitu gani ukifanya, hupunguza au huondoa kiasi cha maumivu husika?
6: Maumivu haya huwa ni ya sehemu moja husika au huwa yanaelekea sehemu nyingine ya mwili?
Muulizaji, inaonyesha anataka kujua, ugonjwa mtu anaumwaje dalili zake, ambazo yeye zitamfanya ajuae sasa anaumwa kichomi, sasa kwenye maelezo ya link yako, imeelezewa vitu ambavyo vinaweza kukusabishia ugonjwa.Mkuu hebu ingia kwenye huu uzi, afu next time usikurupuke kuanzia uzi bali uww unasearch....
www.jamiiforums.com/jf-doctor/366495-tatizo-la-kichomi-ni-moja-ya-dalili-za-ugonjwa-moyo%85.html#post5199287