Kichekesho cha Wanyambo kujiengua kabila la wahaya!

Nikweli nikiwa mdogo mwaka 1983 niliambiwa kuna mtaa wa wahaya huko Dar wanatoa huduma muhim sana kwa wababa wasiojua kuongea na wamama!

hoja mfu, kwenu hawapo taja kabila lako upewe detail, hacha ujinga wa kujumuisha kila kitu
 
Acha povu dogo..mhaya awe mnyambo kabila duni??who tald you nigga??haiwezi kutokea nikama ambavyo sisi haikuwahi tokea mhaya akaoa karagwe....Nyinyi tuliwaita "Abashuti" you got me buddy?hata vyombo vya kunywea au kulia chakula tulikuwa hatu share pamoja nimeamua kukujibu hivi kwakuwa umeleta mbwembwe sasa nakupa makavu mbashara.
Hopeless
 
Si familia ya Rutihinda. Rutihinda anatokea Ngara kama utakumbuka Gavana wa zamani wa BOT. Inawezekana unasema familia ya Ruhinda maana hakuna ukoo wa Ruhinda kwa maana la kinship bali Bahinda ambao ni ukoo wa waliokuwa watawala wa sehemu kubwa ya mkoa wa Kagera, kuondoa Kiziba.
niliconfuse Ruhinda na gavana gilman rutihinda gavana pekee aliyezikwa buguruni.elimu inahitajika kumshawishi mtu kuwa mnyambo sio mhaya lakini kwa nini msubi aongelewi ili hali msubi mnyambo na mhaya wanasikilizana?kuhusu wahangaza na washubi hao kwa kweli ukiwaita wahaya utachekwa wale labda uwaite waha au warundi kama sio wanyarwanda
 
Si familia ya Rutihinda. Rutihinda anatokea Ngara kama utakumbuka Gavana wa zamani wa BOT. Inawezekana unasema familia ya Ruhinda maana hakuna ukoo wa Ruhinda kwa maana la kinship bali Bahinda ambao ni ukoo wa waliokuwa watawala wa sehemu kubwa ya mkoa wa Kagera, kuondoa Kiziba.
niliconfuse Ruhinda na gavana gilman rutihinda gavana pekee aliyezikwa buguruni.elimu inahitajika kumshawishi mtu kuwa mnyambo sio mhaya lakini kwa nini msubi aongelewi ili hali msubi mnyambo na mhaya wanasikilizana?kuhusu wahangaza na washubi hao kwa kweli ukiwaita wahaya utachekwa wale labda uwaite waha au warundi kama sio wanyarwanda
 
Si kweli kwamba wote ni wahaya. Wahaya wapo independent na makabila mengine kama wanyambo, wasubi, washubi na wahangaza wapo independent. Kuna vitu kama viwili au vitatu vinavyoweza kulitambulisha kabila. Moja, ni lugha, ambayo inajumuisha pia na tamaduni na mila za watu husika. Inawezekana baadhi ya mila za makabila hayo zinafanana hiyo hawafanyi wawe kabila moja. Kitu cha pili ni eneo (geographical location). Kila kabila nililolitaja hapo juu lilikuwa na eneo lake mbali na mwenzie, Karagwe kwa wanyambo, Wahaya na dialect zake Ihangiro(Muleba),Kyamutwara (Bukoba) na Kianja. Lakini pia wasubi walio occupy Biharamulo wakati Washubi walikaa Bushubi (Rulenge) na Wahangaza walikaa Bugufi (maeneo ya Ngara Mjini mpaka Buhororo)

Na mwisho ni kwamba kila kabila kati ya hayo lilikuwa "sovereign". Wanyambo walikuwa na utawala wao Karagwe, Wahangaza na Washubi walikuwa na wao Ngara pia wahaya kwa ujumla wao walikuwa na Kingdoms za kabla ya Ukoloni na hata baada ya Uhuru.
Umemjibu vizuri kabisa kama nilivyomjibu jamaa hapo juu. Pia anapashwa kuelewa kwamba lugha kushabiana siyo kitu kwamba ulifanya liwe kabila moja. Mfano Wanyambo lugha yao inashabiana na Kinyankole kuliko Kihaya. Lakini Mnyankole hawezi kusema wanyambo ni Wanyankole. Mhangaza lugha yake ni sawa na Mrundi wa Burundi lakini huwezi kuwahita warundi. Mfano kama wewe si mjuzi utakuta lugha ya Kinyambo inafanana na Kihaya, Kinyankole, Kichiga, Kitoro, Kinyoro, Kisubi, Kizinza, na hata Kikerewe lakini haya yote ni makabila yanayojitegemea.
Pia Kianganza kinashabiana na Kirundi, Kishubi, Kinyarwanda, Kiha lakini bado huwezi kusema ni kabila moja.
Kwa hiyo huyu KakaKiiza lugha sizimchanganye kudhani Wanyambo ni wahaya labda kama ana ajenda ya siri ya kutaka kupanua kabila lake ili limeze makabila mengine yanayoshabiana na lugha yake ya Kihaya
 
niliconfuse Ruhinda na gavana gilman rutihinda gavana pekee aliyezikwa buguruni.elimu inahitajika kumshawishi mtu kuwa mnyambo sio mhaya lakini kwa nini msubi aongelewi ili hali msubi mnyambo na mhaya wanasikilizana?kuhusu wahangaza na washubi hao kwa kweli ukiwaita wahaya utachekwa wale labda uwaite waha au warundi kama sio wanyarwanda
Nimempa mfano wa lugha kushabiana si kufanya watu kuwa kabila moja. Kama ni hivyo basi Wahaya wanajumuisha Wahaya wenyewe, Wanyambo, Wasubi, Wazinza, Wakerewe, Wanyankole, Wachiga, Wanyoro na Watoro maana lugha hizi ukizisikia utadhani labda ni lugha moja kama hujui kutofautisha
 
Umemjibu vizuri kabisa kama nilivyomjibu jamaa hapo juu. Pia anapashwa kuelewa kwamba lugha kushabiana siyo kitu kwamba ulifanya liwe kabila moja. Mfano Wanyambo lugha yao inashabiana na Kinyankole kuliko Kihaya. Lakini Mnyankole hawezi kusema wanyambo ni Wanyankole. Mhangaza lugha yake ni sawa na Mrundi wa Burundi lakini huwezi kuwahita warundi. Mfano kama wewe si mjuzi utakuta lugha ya Kinyambo inafanana na Kihaya, Kinyankole, Kichiga, Kitoro, Kinyoro, Kisubi, Kizinza, na hata Kikerewe lakini haya yote ni makabila yanayojitegemea.
Pia Kianganza kinashabiana na Kirundi, Kishubi, Kinyarwanda, Kiha lakini bado huwezi kusema ni kabila moja.
Kwa hiyo huyu KakaKiiza lugha sizimchanganye kudhani Wanyambo ni wahaya labda kama ana ajenda ya siri ya kutaka kupanua kabila lake ili limeze makabila mengine yanayoshabiana na lugha yake ya Kihaya
Umejibu vizuri sana. Ni kweli kinyambo kinashabihiana sana na Kinyoro kuliko hata kinyankole lakini bado huwezi kusema ni kabila moja. Nimependa mfano wako wa Wahangaza na Waha na Warundi wanavyoshabihiana lakini si kabila moja.
 
Nashindwa kuelewa kwa wanajamii wa kagera kujitenga,juzi kulianzishwa siku ya wanyambo pale makumbusho,Kwa misingi hiyo wanyambo wanasema siyo wahaya!!Je ni wanyarwanda??walioko Tanzania??ila wote hao ni mbwenu ila hizo ni mbwembwe zao tu !!

Kujitenga wahaya na wanyambo!...
Binafsi mimi ni mtani wa wahaya ila nimebahatika kufika karagwe wanapotoka wanyambo,sikujua kama kuna wanyambo ila nilifahamishwa huku sio kwa wahaya bali ni kwa wanyambo na kabila hilo sio dogo kama mtoa mada anavyoeleza kikubwa ni haki yao kujitambulisha mbele ya watanzania kwani imezoeleka kila atokaye kagera ni muhaya la hasha si hivyo ni vema mtoa mada ukaelewa kule kuna kabila nyingi!..
Wanyambo na wahaya wapo tofauti hata tabia zao zinatofautiana kabisa,acha kuwabeza mkuu!..
Ni sawa na kusema mara ni ya wakurya hapo utakosea kuna wazanaki,wajita,wakwaya nk
 
Hapa kuna kila dalili mhaya anapenda angekua mnyambo.

Ndo hivyo haitowahi tokea mnyambo akawa mhaya. Nimesoma kila michango yenu wahaya wametoa povu sana.

Lakini turudi nyuma kwa nini hawa watu wako tofauti?

Nimefatilia nikajua kuwa historia yao ni tofauti na inasemekana zamani wanyambo walizuiliwa kuoana na wahaya, na mpaka sasa hivi kuna maeneo ya karagwe ukimleta mchumba mhaya (kwanza wataguna kwa herufi kubwa mmmmmmmmhhhh) mhaya tena???kifatacho wanamkataa kabisaa. "usituletee mkosi"

inasemekana wasichana wa karagwe walio olewa na wahaya sio kwa mapenzi ya wazazi wao, ni kwamba basi tu ameshamleta tufanyeje? Wengine wamekutana chuoni na tiyari ana mimba basi wanakubali kishingo upande ishatokea. Hakuna namna.

Kama nadanganya njooni hapa mtowe povu.

Ukitaka kujua historia ya kabila lolote kwanza fuatilia vitu ambavyo havikubaliki kwenye kabila hilo.

Nimalize kwa kusema hivi mnyambo hawezi kuwa mhaya hata siku moja usione utandawazi ndo unakutanisha hizi kabila mbili.

Kinacho waponza wahaya ni sifaaa

hata ukimtania umependeza utaskia
"ungeniona jana"

Jiwe gizani.
Nikwo nikwo wakigila mayo
 
Wanambwembwe za kizamaani ,mbna mie nasikia hawa jamaa ni kabila kadogo kenye watu wasiosoma na kapo ndani ya wahaya ni kweli au?


Kwa hiyo ukisikia Magufuli anatembea na Shangazi yako utaamini au. Kamuulize vizuri aliyekwambia. Kwa taarifa yako hakuna wilaya tajiri na inayojitegemea kwa kila kitu kama ya Wanyambo. Kuusu shule nikusaidie kwa sasa hata mzaramo amesoma. Shule ya secondary ya kwanza ya kata ilifunguliwa Karagwe inaitwa Kituntu secondary school ndio shule ya mfano ya kata. Huo ni kwa uchache .
 
Hapa baba umechemsha. Ukweli ni kuwa mkiwa Bukoba nyinyi mnajiita WAHAYA na mkiwa nje basi mwasema siyo wahaya. Lkn hapo juu mimi mmeniacha hoi eti kuwakosesa heshima nafikiri ungesema amekosea tu.. Vile vile hata kusema ni kabila kubwa nayo imeniacha hoi. Mwanafunzi wa darasa la pili ukimuliza makabila makubwa atalitaja la wahaya, sijui kama hilo lingine litatajwa


Hakuna mnyambo anayekubali kuitwa Mhaya. Tatizo hata unavyoongea ni kama una chuki nao. Wakiwa Bukoba wanajiita wahaya kwa sbabu zipi na waukatae uhaya wakiwa nje ya Kagera kwa sbabu zipi?
 
Acha povu dogo..mhaya awe mnyambo kabila duni??who tald you nigga??haiwezi kutokea nikama ambavyo sisi haikuwahi tokea mhaya akaoa karagwe....Nyinyi tuliwaita "Abashuti" you got me buddy?hata vyombo vya kunywea au kulia chakula tulikuwa hatu share pamoja nimeamua kukujibu hivi kwakuwa umeleta mbwembwe sasa nakupa makavu mbashara.


Duh. Kenya wanavyotudharau sisi watanzania umeishaona wanatuzidi nini. Na wewe ulipokuwa unawadharau wanyambo ilikusaidia nini? Au ulitaka wakufanyeje. Masiki uwa ni mpumbavu badala ya kuwaza maisha yako unawaza mambo ambayo hayawezi kukusaidia ebu tupe mfano wa maisha yako unavyowazidi wanyambo wewe au unatoka wilaya gani nikupe sifa yako
 
msichoelewa si kila mwana kagera ni muhaya wapo wanyayangilo, waziba, wanyambo, wahamba, wakara,wahaya,wasubi n.k sasa mimi sioni hoja iko wapi kuwabeza wanyambo na umoja wao. ni mtazamo tu nipo tiyari kusahihishwa kwa hoja
Wewe mimi nimkara wakara tunatokea mkoani Mwanza wilaya ya ukerewe kisiniwani ukara hao wabukoba hatuwajui
 
Mfyuuuu nani anasema wanyambo n wahaya kama kitu hauna uhakika nacho n bora ufunge mdomo wako n vyema ukasoma vzur ukaelewa ndo uje ujitie hapa kuongea .afu mwingine anadai et wakiwa bukoba wanasema wahaya mfyuu mm kote nmepita na katika kusoma kwangu najulikana kama mnyambo ,afu we unayedai n kabila dogo uache kuongea vitu usivovijua na katika mkoa wa kagera karagwe ndo imeendelea zaid ko msiwe mnaandika mambo ambayo hamyajui
 
Hakuna mnyambo anayekubali kuitwa Mhaya. Tatizo hata unavyoongea ni kama una chuki nao. Wakiwa Bukoba wanajiita wahaya kwa sbabu zipi na waukatae uhaya wakiwa nje ya Kagera kwa sbabu zipi?
Sa hv watu washaanza kuelewa tofauti ya mhaya na mnyambo n kwamba mhaya anapenda sifa sana
 
Back
Top Bottom