Kichekesho cha Wanyambo kujiengua kabila la wahaya!

Ningeomba unijuze tofauti iliyopo kati ya wanyambo na wahaya!!Kama hujarudi kulekule!!

Nadhani atakuwa amekuelewa ngoja tumpe mda atatujibu ili upate ufahamu mzuri kuhusu wanyambo!!

Mimi ni MNYAMBO. Nashangaa maana ya mjadala huu maana sisi Wanyambo tunasema kuwa ni Wanyambo huyo/hao wanaokataa ni kiasi cha kuachana nao maana sisi ndio tunatakiwa kusema kuwa ni Wanyambo au Wahaya kama hao wanavyotaka. Kama hawataki kukubalu ni vigumu kuwalazimisha. Sisi tunajijua kuwa ni Wanyambo na kila wakati tutajitambulisha hivyo!
 
Mimi ni MNYAMBO. Nashangaa maana ya mjadala huu maana sisi Wanyambo tunasema kuwa ni Wanyambo huyo/hao wanaokataa ni kiasi cha kuachana nao maana sisi ndio tunatakiwa kusema kuwa ni Wanyambo au Wahaya kama hao wanavyotaka. Kama hawataki kukubalu ni vigumu kuwalazimisha. Sisi tunajijua kuwa ni Wanyambo na kila wakati tutajitambulisha hivyo!
Wahaya niwatu gani au ni wepi??ukijua wahaya niwepi basi hakuna mnyambo na mhaya!Ndiyo maana nasema vyote ni decoration tu!Ukitaka kujua zaidi mtembelee Prof,Hazavel Lwaitama umuulize swali hili utapewa jibu na utajijua wapi ulipo kati ya haya maneno!
 
Kuna mnyambo mmoja humu anaitwa bullet , nadhani anatokea kwenye koo ya kifalme ya Rutinda...hataki kukubali kuwa wanyambo ni wahaya. Hata umueleweshe vipi hawezi kukubali. Then ndio huwa anaratibu siku ya wanyambo. Nadhani hawa jamaa wana mpango wa kujitenga na asili yao.
 
Mimi ni MNYAMBO. Nashangaa maana ya mjadala huu maana sisi Wanyambo tunasema kuwa ni Wanyambo huyo/hao wanaokataa ni kiasi cha kuachana nao maana sisi ndio tunatakiwa kusema kuwa ni Wanyambo au Wahaya kama hao wanavyotaka. Kama hawataki kukubalu ni vigumu kuwalazimisha. Sisi tunajijua kuwa ni Wanyambo na kila wakati tutajitambulisha hivyo!
Wale wale wanchari na warya nchoka ndani kabila la wakurya
 
Nashindwa kuelewa kwa wanajamii wa kagera kujitenga,juzi kulianzishwa siku ya wanyambo pale makumbusho,Kwa misingi hiyo wanyambo wanasema siyo wahaya!!Je ni wanyarwanda??walioko Tanzania??ila wote hao ni mbwenu ila hizo ni mbwembwe zao tu !!


Kasomeni, ignorance is destructive. Wanyambo na wahaya wana machimbuko tofauti kabisa, ufanano was lugha usikuchanganye, ni sawa sawa na wamatengo, wangoni na wandendeule, au waarusha na wamasai. Very different origins.
 
asante mkuu,nafikisi lengo la tamasha hili sasa linaonekana kutimia,tulifanya tamasha ili kuuelimisha umma tofauti kati ya wahaya na wanyambo.tofauti ni kubwa km baadhi ya wajumbe walivyochangia.ili kuelimika na kuweza kueneza ujumbe jitahidi usome makala ulizopewa hapa juu.Elimu haina mwisho.
Hakuna tofauti iliyoelezwa zaidi ya kusema turejee kitabu cha Karugendo
 
Hapa kuna kila dalili mhaya anapenda angekua mnyambo.

Ndo hivyo haitowahi tokea mnyambo akawa mhaya. Nimesoma kila michango yenu wahaya wametoa povu sana.

Lakini turudi nyuma kwa nini hawa watu wako tofauti?

Nimefatilia nikajua kuwa historia yao ni tofauti na inasemekana zamani wanyambo walizuiliwa kuoana na wahaya, na mpaka sasa hivi kuna maeneo ya karagwe ukimleta mchumba mhaya (kwanza wataguna kwa herufi kubwa mmmmmmmmhhhh) mhaya tena???kifatacho wanamkataa kabisaa. "usituletee mkosi"

inasemekana wasichana wa karagwe walio olewa na wahaya sio kwa mapenzi ya wazazi wao, ni kwamba basi tu ameshamleta tufanyeje? Wengine wamekutana chuoni na tiyari ana mimba basi wanakubali kishingo upande ishatokea. Hakuna namna.

Kama nadanganya njooni hapa mtowe povu.

Ukitaka kujua historia ya kabila lolote kwanza fuatilia vitu ambavyo havikubaliki kwenye kabila hilo.

Nimalize kwa kusema hivi mnyambo hawezi kuwa mhaya hata siku moja usione utandawazi ndo unakutanisha hizi kabila mbili.

Kinacho waponza wahaya ni sifaaa

hata ukimtania umependeza utaskia
"ungeniona jana"

Jiwe gizani.
 
Hapa kuna kila dalili mhaya anapenda angekua mnyambo.

Ndo hivyo haitowahi tokea mnyambo akawa mhaya. Nimesoma kila michango yenu wahaya wametoa povu sana.

Lakini turudi nyuma kwa nini hawa watu wako tofauti?

Nimefatilia nikajua kuwa historia yao ni tofauti na inasemekana zamani wanyambo walizuiliwa kuoana na wahaya, na mpaka sasa hivi kuna maeneo ya karagwe ukimleta mchumba mhaya (kwanza wataguna kwa herufi kubwa mmmmmmmmhhhh) mhaya tena???kifatacho wanamkataa kabisaa. "usituletee mkosi"

inasemekana wasichana wa karagwe walio olewa na wahaya sio kwa mapenzi ya wazazi wao, ni kwamba basi tu ameshamleta tufanyeje? Wengine wamekutana chuoni na tiyari ana mimba basi wanakubali kishingo upande ishatokea. Hakuna namna.

Kama nadanganya njooni hapa mtowe povu.

Ukitaka kujua historia ya kabila lolote kwanza fuatilia vitu ambavyo havikubaliki kwenye kabila hilo.

Nimalize kwa kusema hivi mnyambo hawezi kuwa mhaya hata siku moja usione utandawazi ndo unakutanisha hizi kabila mbili.

Kinacho waponza wahaya ni sifaaa

hata ukimtania umependeza utaskia
"ungeniona jana"

Jiwe gizani.
Acha povu dogo..mhaya awe mnyambo kabila duni??who tald you nigga??haiwezi kutokea nikama ambavyo sisi haikuwahi tokea mhaya akaoa karagwe....Nyinyi tuliwaita "Abashuti" you got me buddy?hata vyombo vya kunywea au kulia chakula tulikuwa hatu share pamoja nimeamua kukujibu hivi kwakuwa umeleta mbwembwe sasa nakupa makavu mbashara.
 
Acha povu dogo..mhaya awe mnyambo kabila duni??who tald you nigga??haiwezi kutokea nikama ambavyo sisi haikuwahi tokea mhaya akaoa karagwe....Nyinyi tuliwaita "Abashuti" you got me buddy?hata vyombo vya kunywea au kulia chakula tulikuwa hatu share pamoja nimeamua kukujibu hivi kwakuwa umeleta mbwembwe sasa nakupa makavu mbashara.

mimi sikuwepo mwaka 1983 lakini kama ilitokea walikuwa hawawezi ku share vyombo labda ni ile hatari iliyotokea bukoba mwaka huo wanyambo wakaogopa kula/kunywa na nyinyi?? Kumbuka wakati huo watu wahakuwa na elimu kama sasa hivi ambapo kula pamoja ki kitu chakawaida.
Inaweza kuwa ndo sababu
Nawaza tu sina uakikia.(sorry)

Pointi yako ni ya kitoto haina ushahidi ilibidi useme kwa nini walikuwa hawataki ku share vyombo? Kama nilivyokueleza kuwa wanawake wa kinyambo waliwazuia kuolewa na wahaya sababu "wataleta mkosi"
 
mimi sikuwepo mwaka 1983 lakini kama ilitokea walikuwa hawawezi ku share vyombo labda ni ile hatari iliyotokea bukoba mwaka huo wanyambo wakaogopa kula/kunywa na nyinyi?? Kumbuka wakati huo watu wahakuwa na elimu kama sasa hivi ambapo kula pamoja ki kitu chakawaida.
Inaweza kuwa ndo sababu
Nawaza tu sina uakikia.(sorry)

Pointi yako ni ya kitoto haina ushahidi ilibidi useme kwa nini walikuwa hawataki ku share vyombo? Kama nilivyokueleza kuwa wanawake wa kinyambo waliwazuia kuolewa na wahaya sababu "wataleta mkosi"
Kama ukuwepo unatetea nini sasa??
 
Nashindwa kuelewa kwa wanajamii wa kagera kujitenga,juzi kulianzishwa siku ya wanyambo pale makumbusho,Kwa misingi hiyo wanyambo wanasema siyo wahaya!!Je ni wanyarwanda??walioko Tanzania??ila wote hao ni mbwenu ila hizo ni mbwembwe zao tu !!


Kwanza tambua hakuna kitu kama Kabila la Wahaya bali kuna makundi ya jamii mbali mbali yakiyokusanywa na Wazungu na kuitwa Wahaya kama vile Wachaga, Wasukuma au sijui Wagogo, hivyo kama Mzungu aliwaingiza kwenye kundi liitwalo Wahaya kwa nini leo ishindikane kujitoa?
 
Kwanza tambua hakuna kitu kama Kabila la Wahaya bali kuna makundi ya jamii mbali mbali yakiyokusanywa na Wazungu na kuitwa Wahaya kama vile Wachaga, Wasukuma au sijui Wagogo, hivyo kama Mzungu aliwaingiza kwenye kundi liitwalo Wahaya kwa nini leo ishindikane kujitoa?
Asante sana Barbarosa ukisoma mwanzo kabisa hili nililigusia siku moja nilikuwa pale UDSM kulikuwa na mdahalo wa Kigoda cha Mwalimu Kuna mada ikaja kwanini afrika tunabaguana na kuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe wakati wote ni ngozi moja rangi mpja Dr Hazavel Rwaitama alionge kitu kama hiki akasema wote ni waafrica tungekusanya nguvu yetu ungekuta tuna maendeleo kuliko wazungu kinachotusumbua ni ubinafsi hii yote wakoloni ndo wameleta haya kutupanga mafungu ili watutawale.
 
msichoelewa si kila mwana kagera ni muhaya wapo wanyayangilo, waziba, wanyambo, wahamba, wakara,wahaya,wasubi n.k sasa mimi sioni hoja iko wapi kuwabeza wanyambo na umoja wao. ni mtazamo tu nipo tiyari kusahihishwa kwa hoja
Wakara wanatoka Wilaya gani kagera mkuu
 
Kuna mnyambo mmoja humu anaitwa bullet , nadhani anatokea kwenye koo ya kifalme ya Rutinda...hataki kukubali kuwa wanyambo ni wahaya. Hata umueleweshe vipi hawezi kukubali. Then ndio huwa anaratibu siku ya wanyambo. Nadhani hawa jamaa wana mpango wa kujitenga na asili yao.
Bullet anatoka ukoo wa Rutihinda chief toka nyakahanga bugene,ikulu ya babu yake iko mkabala na hospitali teule ya wilaya ya nyakahanga kweli wanyambo ni wanyambo na wahaya ni wahaya
 
Kwanza nikuweke sawa, si kweli kwamba walianzisha siku ya Wanyambo ila ni utaratibu wa kawaida kwa nchi hii kuwa na Siku ya Utamaduni wa makabila yetu. Makabila mbalimbali yamekwisha onyesha utamaduni wao pale makumbusho wakiwema Wahangaza kutoka Ngara waliofanya hivyo Mwaka jana. Ukisoma kwenye link niliyokupatia utajua makabila yote ambayo yamesha adhimisha utamaduni wao pale Kijiji cha Makumbusho. Lakini kwa kukusaidia pia ili uweze kupata majibu ya maswali unayo jiuliza basi soma hapa Karagwe ni ya Wanyambo na Wanyambo ni wa Karagwe
Wanyambo ni Wanyambo tu, kigezo ulichotumia cha wao kutoka Kagera hakiwafanyi kuwa Wahaya na hata Lugha yao kuendana kidogo kimaneno na Wahaya hakuwafanyi kuwa Wahaya. Kwa mfano mdogo, Wapare hawawezi kusema wao ni Wachaga kwa kisingizio cha kutoka Kilimanjaro. Lakini pia ukitaka kujua historia ya wanyambo waweza kusoma hapa Wanyambo kuwa na Siku ya Utamaduni wao

icon1.png
Re: Kichekesho cha wahaya!! nziriye



"Wanambwembwe za kizamaani ,mbna mie nasikia hawa jamaa ni kabila kadogo kenye watu wasiosoma na kapo ndani ya wahaya ni kweli au?|


Nziriye labda ungejiuliza kama kweli hawajasoma na {kiukweli hakuna kabila ambalo wamesoma wote} mbona walikuwepo kwenye baraza la kwanza la mawaziri wa nchi hii. Huyo aliyekuwemo ilikuwaje akawemo wakati huko kwao Unyamboni hawakusoma.

My take
Lakini suala la makabila na ukabila halitusaidii kujenga nchi yetu. Mimi si Mnyambo na wala sihitaji kujua kabila lako. Lakini nahitaji kuona input yako kwenye kujenga nchi yetu. Tanzania kwanza. Mbona kabila langu si maarufu na wala halizungumziwi mahali popote lakini hilo halijawahi kuondoa utanzania wangu.

wewe ndio mtanzania. Ahsante mkuu kwa kuwaelewesha hawa wangese wanaotaka kuharibu nchi
 
Kasomeni, ignorance is destructive. Wanyambo na wahaya wana machimbuko tofauti kabisa, ufanano was lugha usikuchanganye, ni sawa sawa na wamatengo, wangoni na wandendeule, au waarusha na wamasai. Very different origins.

are u sure brother???
 
wewe ndio mtanzania. Ahsante mkuu kwa kuwaelewesha hawa wangese wanaotaka kuharibu nchi
Kwa nini utukane wakati hapa ni hoja??kuna sababu ya kutukana kweli??sina mda wakulumbana na wewe huo ndo ubashite wako karibu tuendelee ika huu mkoa wetu hatuna mabashite kama wewe labda kama ni toto la "empungi"au O'mwana womkazi yagyaga Nairobi na Mombasa anga Okazalilwa kilaya anga Mtukula shame on you.
 
Back
Top Bottom