Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Katika hali inayoonesha kuwa kweli suala la Urais wa JK ni la kifamilia zaidi, Bibie Salma Kikwete ameghadhabishwa na watu wanaoponda tabia yake ya kutumia mali za umma kumfanyia kampeni muumewe.
Bi Salma ametamka hayo katika moja ya kampeni zake za "Ndani Kwa Ndani" huko Bukombe na kuwataka watu hao kuwa waache tabia hiyo kwani watu hao wanataka kuharibu ndoa yake halali.
My Take:
==================================================================
Hii sasa ni kali. Kwa hiyo Salma ameagizwa na muumewe kupiga kampeni, la sivyo hakuna ndoa.
This is no blue Monday any more!!!
==================================================================
Tukachape kazi.
Dr. Slaa For Life!!!!
Bi Salma ametamka hayo katika moja ya kampeni zake za "Ndani Kwa Ndani" huko Bukombe na kuwataka watu hao kuwa waache tabia hiyo kwani watu hao wanataka kuharibu ndoa yake halali.
My Take:
==================================================================
Hii sasa ni kali. Kwa hiyo Salma ameagizwa na muumewe kupiga kampeni, la sivyo hakuna ndoa.
This is no blue Monday any more!!!
==================================================================
Tukachape kazi.
Dr. Slaa For Life!!!!