Dangote the advocate
Senior Member
- Sep 21, 2014
- 135
- 153
Watanzania bana kwa kujitekenya sijui hili suala la kumfananisha huyu mlopokaji na baba wa taifa la Africa kusini.
Watanzania bana kwa kujitekenya sijui hili suala la kumfananisha huyu mlopokaji na baba wa taifa la Africa kusini.
hahahaa..
Si watanzania, yeye ndo kiki yake hiyo eti anasema mawakili wasjisumbue kumtetea yeye atasota tu rumande, hivi ye anahisi Mandela alikuwa akitumia njia hyo? Atakuja kujutia baadaye, nawahurumia familia yake.Watanzania bana kwa kujitekenya sijui hili suala la kumfananisha huyu mlopokaji na baba wa taifa la Africa kusini.