Kichapo kwa Waislamu na wasio Wayahudi kinakuja!

Status
Not open for further replies.

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Wazungu wameshaanza propaganda ambazo haswa zinaongozwa na Wayahudi ambao lengo lao ni kutawala Dunia, sasa hivi kuna habari zinapamba moto ambazo zina lengo la kuitayarisha Dunia kisaikolojia hasa waumini wa Dini ya Kiislamu!

Wazungu wanasema kwamba, hapo zamani nchi muhimu za Kiarabu kama Syria zilikuwa za Kikristo kabla ya kuvamiwa na Uislamu (Uarabu), na wanakwenda mbali zaidi na kusema kwamba Afrika ya Kaskazini yote ilikuwa ni Ukristo tupu!

Wanasema kwamba, (Mtume) Paulo hakwenda Jerusalemu kwanza bali alienda Damascus (Mji Mkuu wa Syria ya leo) hata wanasema Msikiti wa Ummayad ulioko Damascus ambao ni una historia muhimu sana ya Dini ya Kiislamu kwani ndo Msikiti mkubwa na wa zamani klk yote Duniani chini yake wanasema kwamba ndipo alipozikwa Yohana Mbatizaji, kwa maana nyingine Msikiti wa Umayyad umejengwa juu ya kaburi la Yohana Mbatizaji na wanasema kwamba Msikiti huo lilikuwa Kanisa kabla ya uvamizi wa Dola ya Kiislamu, hivyo unaweza kuunganisha matukio na yanayoendelea nchini Syria, nchi ya Israeli ina lengo na kuichukuwa Syria yote na hivyo inawandaa wanadamu kisaikolojia, na kipigo cha pili kinafwatia Afrika ya Kaskazini rejea uhusiano wa kuuliwa kwa Gadafi na kushamiri kwa Isis, leo hii Isis sehemu kubwa wanatokea nchini Libya baada ya Gadafi kuondolewa na kama alivyosema D.Trump kwamba ,,Obama and clinton created Isis", ... !

Msikiti wa Umayyad, Damascus ambapo wanasema umejengwa juu ya kaburi la Yohana mbatizaji!
1280px-Umayyad_Mosque%2C_Damascus.jpg



900px-Umayyad_Mosquee_panoramic.jpg


(Picha wikipedia)
 
Kwa kweli watutawale tu hasa Afrika maana Mataifa mengi ya Afrika yamekalia dhuluma kwa wapigakura wao Maskini.


Hawana haja ya kutawala Afrika (Kusini mwa Sahara) kama wangekuwa nayo wasingeondoka (kwa hiari), wao wanataka Uarabuni hasa syria na Afrika ya Kaskazini!
 
Hawana haja ya kutawala Afrika (Kusini mwa Sahara) kama wangekuwa nayo wasingeondoka (kwa hiari), wao wanataka Uarabuni hasa syria na Afrika ya Kaskazini!

Wawatawale tuu maana tumechoka kusikia Vita visivyoisha huko.Natoa wito waje na Afrika.
 
Wawatawale tuu maana tumechoka kusikia Vita visivyoisha huko.Natoa wito waje na Afrika.


Hawataki Afrika kwetu, hivyo hauna wala haja ya kutoa wito kwani kama wangeteka wasingehitaji wito wako!
 
Hiyo inaitwa, returning the children to their Mother. Na wengine tokea mwaka 1999 wakaunda ecumenism movement.
 
Hawataki Afrika kwetu, hivyo hauna wala haja ya kutoa wito kwani kama wangeteka wasingehitaji wito wako!

Mimi nina Imani na Trump hasa kwa Viongozi wanaodhulumu wapiga kura Maskini kusini mwa Jangwa la sahara.
Hao wa Asia na Afrika kaskazini hayanihusu.
 
Mimi nina Imani na Trump hasa kwa Viongozi wanaodhulumu wapiga kura Maskini kusini mwa Jangwa la sahara.
Hao wa Asia na Afrika kaskazini hayanihusu.


Kama kweli una imani na D.Trump kama ulivyosema basi haujamuelewa, na wala haujaelewa kwanini amechaguliwa kuwa Raisi wa USA!
 
Lazima waziandame nchi za kiislam kwa kua ndio nchi ambazo huwa wanapata ugumu sana wanapotaka kueneza propaganda zao,nchi nyingi za kikristo hazina resistance kubwa,kwanza bado wanaamini waisrael ni taifa teule kwa hyo lolote litakalofanywa na wayahudi wakristo hawana pingamizi,kama mtu atakuua kwa kile unachokiamini bado ni kifo safi tuu,wacha waje tunawasubiri!
 
Kama kweli una imani na D.Trump kama ulivyosema basi haujamuelewa, na wala haujaelewa kwanini amechaguliwa kuwa Raisi wa USA!

Wakati wa kampeni nilimsikia akizikemea nchi za afrika kwa kuwadhulumu wapiga kura Maskini.Alitolea mfano Uganda ambapo wakishatishwa kidogo wapigakura wanakimbia na Kuacha Kura Zinaibiwa.Aliwasifu wapigakura wa Kenya kwa kuwa wakakamavu na kutoogopa vitisho vya watawala.Huu ndio ukweli wa wapigakura wengi wa Afrika.
Binafsi naona Trump ana afadhali kuliko angeingia Hilary.
 
Wakati wa kampeni nilimsikia akizikemea nchi za afrika kwa kuwadhulumu wapiga kura Maskini.Alitolea mfano Uganda ambapo wakishatishwa kidogo wapigakura wanakimbia na Kuacha Kura Zinaibiwa.Aliwasifu wapigakura wa Kenya kwa kuwa wakakamavu na kutoogopa vitisho vya watawala.Huu ndio ukweli wa wapigakura wengi wa Afrika.
Binafsi naona Trump ana afadhali kuliko angeingia Hilary.


D.Ttrump hajawahi kuongelea Afrika hata siku moja hizo ni propaganda chafu tu za wapinzani wake na lengo lilikuwa kumchonganisha na Waafrika, lkn D.Trump hana interest na Afrika na ndo maana amechaguliwa kwani kampeni yake yote amejikita kwenye maslahi ya USA!
 
Acheni kujishtukia,hii kupoteza muda kung'ang'ana kusema wazungu wanapinga uislam kumewafanya wenye imani hiyo kuwa bogus wanashindwa hata kufikiri nje ya box....maswali mepesi tu,kwanini wapingane nao,unawakosesha nini hata wauangamize,unawakosesha maslahi gani?
 
D.Ttrump hajawahi kuongelea Afrika hata siku moja hizo ni propaganda chafu tu za wapinzani wake na lengo lilikuwa kumchonganisha na Waafrika, lkn D.Trump hana interest na Afrika na ndo maana amechaguliwa kwani kampeni yake yote amejikita kwenye maslahi ya USA!
Ile picha aliyopiga na ndugu yake na Obama hukuiona?
Hapo walizungumzia afrika.
 
Acheni kujishtukia,hii kupoteza muda kung'ang'ana kusema wazungu wanapinga uislam kumewafanya wenye imani hiyo kuwa bogus wanashindwa hata kufikiri nje ya box....maswali mepesi tu,kwanini wapingane nao,unawakosesha nini hata wauangamize,unawakosesha maslahi gani?


Siyo Waislamu tu (Waarabu) hata wewe mweusi pia hawakupendi!
 
Siyo Waislamu tu (Waarabu) hata wewe mweusi pia hawakupendi!
Kwa kuwa hawanipendi sambamba na waarabu mdio unapendekeza niwaunge mkono waarabu????

Kafanye ctscan, huenda ubongo umehama kichwani na haijulikani ulipo.
 
Kwa kuwa hawanipendi sambamba na waarabu mdio unapendekeza niwaunge mkono waarabu????

Kafanye ctscan, huenda ubongo umehama kichwani na haijulikani ulipo.


Ni wapi nimependekeza uwaunge mkono Waarabu?
 
Status
Not open for further replies.
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom