Kichapo hiki kwa CDM Arumeru ni kikubwa sana , wahurumieni !

Siyo kila jambo ni la kupuuza..! Kuna POINT hapa. Inabidi makamanda wote wahamasishe vijana wote waliojiandikisha waende kupiga kura. Ikumbukwe Mtaji wa CCM ni wazee na Wanawake wanaoogopa mabadiliko pamoja na ujinga wa baadhi ya Watanzania.
Watapiga kura wakati unaambiwa hawakujiandikisha ? Nadahani hili si la kuupuza kwa faida ya chaguzi zitakazofuata.
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi

Kwenye nyekundu hapo. Hivi mimi hapa napata shida kidogo kuelewa. Ina maana ambao hawana shahada huwa ni wa chama kimoja tu? Nauliza hivyo kwa sababu ni chama kimoja tu kinapigania fomu hiyo no. 17. Au dalili fulani fulani zenye chembe chembe za wizi wa kura na kama ni kweli mbona chama ambacho kimekuwa kikituhumiwa sana kwa wizi wa kura chenyewe kiko confortable na msimamo wa NEC? Jamani tuelimishane hapa kidogo.
 

CDM sijui nani aliye waroga na karibia wote (viongozi+wanachama+wapenzi) badala yakujibu hoja unaikwepa hoja. Sasa hapo ndipo umejibu nn ? tukisema hata darasa la 7 hukufika km Lema tutakuwa tumekosea?
katandike kitanda wewe!!!
mumeo nasikia kakufuata hukohuko jana usiku!!!
 

CDM sijui nani aliye waroga na karibia wote (viongozi+wanachama+wapenzi) badala yakujibu hoja unaikwepa hoja. Sasa hapo ndipo umejibu nn ? tukisema hata darasa la 7 hukufika km Lema tutakuwa tumekosea?
Utajibu hoja ambayo haipo? Au wewe umeona kitu hapo? Unakuwa kama Lusinde bana!
 
Do not seek death. Death will find you. But seek the road which makes death a fulfillment.


Dag Hammarskjöld (1905 - 1961)
 
Nyinyi magamba tunawajua, "YOU ARE TRYING TO CREATE THE STEALING ENVIRONMENT" 'YOU ARE BIG THIEVES" lakini kwa Arumeru hamtafanikiwa na mkitake jaribuni kama damu haijamwagika, Yes i know that kumwagika kwa damu kwenu is not an issue ilimradi mpate cheo but THIS TRIP ATACHOMWA HATA HUYO MNAEMWIBIA halafu tuone nani atashika.

"FOR YOUR INFORMATION IN MERU ALL AGEMENT THEY ARE VOTING FOR CHADEMA"Hawana haja na magamba kwani hawajaweza kuwasaidia kwa miaka 50 na hata sasa hawawezi na ndiyo maana wanamwaga hela ili wakarudishe wakiingia bungeni. THEY ARE DOING BUSINESS FOR THEMSELVES AND NOT FOR THE PUBLIC.

WAMERU NI WAJANJA wanakula kwa magamba then KURA KWA CDM.

PEOPLE's POWER
 
Unafikiri matusi ya lusinde yalikua ya bure yeye yuko meru ameshaona dalili za kushindwa badala ya kuendeleza sera za 2010 yeye kaja na matusi mbele ya wapiga kura na watoto wa shule tena wadogoooo hio ndio ccm bwana!!!!!!!!! hawajui watafanya nini leo, kesho, kesho kutwa kila mtu akiamka ana lake jk atasema hivi, kiroboto atasema vile, pindua nae vingine....... jambo moja majibu tofauti...
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi
Magamba mlio wengi mnatumia m*t**o unapofikia wakati wa kuchambua mambo, unalitukana jina lako!
 
Siyo kila jambo ni la kupuuza..! Kuna POINT hapa. Inabidi makamanda wote wahamasishe vijana wote waliojiandikisha waende kupiga kura. Ikumbukwe Mtaji wa CCM ni wazee na Wanawake wanaoogopa mabadiliko pamoja na ujinga wa baadhi ya Watanzania.
Kama kweli mtaji wa magamba ni wazee na wao wanatambia hilo, basi wajue wanaelekea kufilisika na kukizika chama chao. Watambue kwamba hao wazee wa leo hawatadumu milele.
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi
hivi kibajaji kikiongea unaita nayo ni mikutano. Mikutano ya CDM ni ya uhakika. Kwani wamekuambia wanawake wote na wazee wanaipenda ccm. Hakuna ulichoongea kama huo ni utafiti kweli ccm mumeoza.
 
Wakati uchaguzi wa Arumeru Mashariki ukikaribia , hali kwa baaadhi ya vyama vya upinzani ni tete na haitii matumaini kabisa kwa wao kushinda. Hali hiyo ni mbaya zaidi kwa CDM kwani waliyokuwa wakiyategemea sivyo yalivyo.

  1. CDM walitegemea wapiga kura wengi ni vijana. Ila imedhihirika kuwa vijana wengi hawakujiandikisha na hawana sifa yakupiga kura. Kwa maana hiyo basi waamuzi wa Mbunge ajae yako kwa wazee na wanawake. Ambapo makundi haya CDM wameyasahau na kujihusisha na vijana tu
  2. CDM walitegemea utumiaji wa fomu no. 17 uwe ni ukombozi wao. Ila tume ya taifa ya uchaguzi imeisha tangaza kuwa fomu hiyo haijawahi kutumika katika uchaguzi wowote nchini, na kwenye uchaguzi huu wa Arumeru haitatumika. Hii yaonyesha ule mpango wao wakuruhusu hata wasio na shahada za kupiga kura wapige kura umekufa. Na hili ni pigo kubwa sana kwao
  3. CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi
[]genius brain, kimsingi hapa hamna hoja ya kujibu. hii ni propaganda na inapata majibu yake through propaganda. bahati mbaya uliyonayo ni uchovu wako wa kufikiri na kushindwa kutofautisha ATTENTION na AT EASE. Alafu propaganda yako namba tatu, haina mashiko. kwanza utumiaji wako wa lugha ni duni sana. Unapata wapi ujasiri wa kutuambia HARAMBEE YA SADAKA?? hiki ni kitu gani unataka kumaanisha??? majibu umeshayapata, njoo kivingine tena 'shake-well' brain
 
Nakubaliana na Mwanzilishi wa makala. Ni kweli Chadema wana hali mbaya sana sana kwa sasa.

 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na Mwanzilishi wa makala. Ni kweli Chadema wana hali mbaya sana sana kwa sasa.


hiyo video safi sana wakileta madudu yao hapa JF tuna wawekea hiyo wasikie vizuri hiyo wanayoiita mikutano yao
 
Last edited by a moderator:
CDM ilifanya harambee ya SADAKA pale Naura, na walikusanya pesa nyingi tu. Ila mpaka sasa pesa hizo hazija saidia sana chama. Kwani kwa tathmini CCM wao walikuwa wanafanya mikutano takribani 30 kwa siku, CDM wao walikuwa 18 kwa siku. Na CCM hivi sasa watafanya mikutano 50 kwa siku, CDM wao 23 kwa siku. Hii yaonyesha , uwezo mdogo wa CDM kufanya mikutano. Sasa tatizo mwanzo tuliambiwa ni pesa, sasa pesa zipo na mikutano haifanyiki kwa wingi


Wingi wa mikutano si wingi wa kura
 
Mbinu Na. 1 ya kutegemea wazee na wanawake na kuwanyima vijana nafasi ya kupiga kura ni mbaya sana na inajenga chuki kwa Chama kinachotumia mbinu hiyo. Kumbuka kuwa hao vijana wanaonyimmwa nafasi ya kupiga kura ndio wazee wa kesho. Ole wake mwenye kutumia mbinu hiyo bila kutafakari matokeo yake siku za mbele, kwa maana wazee na watoto wao watakuwa hawamtaki tena.
 
Hapo namba 2. Umedanganya.. Mkurugenzi huyu wa Tume ya Uchaguzi alisema Juzi kwamba Form no 17 zilitumika kwenye uchaguzi mdogo Wa Igunga.. Akasema pia kwamba ingawa zilitumika Lakini Kwa makosa hazikupaswa kutumika.. Sasa wewe "mwenezi mzima wa Chama hujui Haya ??" unasema hazijawahi kutumika?..cha pili Mimi nashangaa sana, Sijui faida ya uongo ni nini labda kutokujua hesabu za kujumlisha kumezaa uozo huu, mikutano 50 Kwa siku, unajua maana yake wewe? Mikutano inayoanzia saa nne asubuhi hadi 12, means masaa nane, so 50\8 ni 6.3 so mikutano Sita Kwa saa of which kila mkutano ni dk10 tu.. Ni ndoto.. Wafuata pesa waimbe manyimbonyimbo, mgombea anadiwe Na yeye ajinadi Na Muda wa kumwaga matusi upatikane kweli Kwa dk 10 tu?, Na bado Miundombinu ya kusafiri kijiji Kwa kijiji.. Acha uongo "mwenezi".
 
Hapo namba 2. Umedanganya.. Mkurugenzi huyu wa Tume ya Uchaguzi alisema Juzi kwamba Form no 17 zilitumika kwenye uchaguzi mdogo Wa Igunga.. Akasema pia kwamba ingawa zilitumika Lakini Kwa makosa hazikupaswa kutumika.. Sasa wewe "mwenezi mzima wa Chama hujui Haya ??" unasema hazijawahi kutumika?..cha pili Mimi nashangaa sana, Sijui faida ya uongo ni nini labda kutokujua hesabu za kujumlisha kumezaa uozo huu, mikutano 50 Kwa siku, unajua maana yake wewe? Mikutano inayoanzia saa nne asubuhi hadi 12, means masaa nane, so 50\8 ni 6.3 so mikutano Sita Kwa saa of which kila mkutano ni dk10 tu.. Ni ndoto.. Wafuata pesa waimbe manyimbonyimbo, mgombea anadiwe Na yeye ajinadi Na Muda wa kumwaga matusi upatikane kweli Kwa dk 10 tu?, Na bado Miundombinu ya kusafiri kijiji Kwa kijiji.. Acha uongo "mwenezi".

Healthy analysis. Nimeipenda
 
Back
Top Bottom