Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 11,773
- 9,966
Baba yangu ni Mwarusha, Mama yangu ni Mchaga, nimezaliwa na kukulia Arusha, lakini ajabu ni kwamba nakijua kichaga(kimarangu) lakini kiarusha dooh!!, kwa kuongezea tu hapo baadhi ya waarusha nao siku hizi hawafundishi watoto wao pia.
Kiarusha ndio lugha gani?
.....Kuna kabila la Waarusha nchi hii?