Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,102
- 3,436
Ama kweli sasa yanatimia yale ya "Abunuwasi"
Hadithi: Siku moja jamaa alikuwa anaoga mtoni, wakati akiwa kwenye kina kirefu alikuja kichaa akazichukua nguo zote na kukimbia nazo. Jamaa kuona vile akatoka na kuanza kumkimbiza hadi wakafika mjini. Muda wote wakati akimkimbiza alikuwa akipiga mayowe ya ........Kichaa huyo!!!! kichaa huyoooo!!!!
Watu walitoa ili kumkamata kichaa. Hakika huwezi kuamini walimkamata yule aliye kuwa uchi wakidhani ni kichaa. JADILI
Hadithi: Siku moja jamaa alikuwa anaoga mtoni, wakati akiwa kwenye kina kirefu alikuja kichaa akazichukua nguo zote na kukimbia nazo. Jamaa kuona vile akatoka na kuanza kumkimbiza hadi wakafika mjini. Muda wote wakati akimkimbiza alikuwa akipiga mayowe ya ........Kichaa huyo!!!! kichaa huyoooo!!!!
Watu walitoa ili kumkamata kichaa. Hakika huwezi kuamini walimkamata yule aliye kuwa uchi wakidhani ni kichaa. JADILI